Dk Marina Njelekela apewa tuzo ya Martin Luther King

Regia Mtema

R I P
Nov 21, 2009
2,970
864
Wakuu.

Jana kwenye taarifa ya habari ya ITV tumehabarishwa kwamba Dk Marina Njelekela yule mwenyekiti wa Chama Cha Wanawake Madaktari-MEWATA ametunukiwa tuzo ya Martin Luther King na Ubalozi wa Marekani kwa kutambua mchango wake mkubwa anaoufanya wa kuwakomboa Wanawake na Saratani ya Matiti....

Kwa kweli she deserves kupata tuzo hii....na kwa kupata kwake tuzo hii...idadi ya wanawake Watanzania waliopata tuzo hii wanazidi kuongezeka.

Habari ndio hiyo.
 
Anastahili. Yuko MUHAS kwenye idara ya SUNGUSUNGU akijaribu ku-dilute kisukuma kwa kingoni, maana jamaa walizoea tangu mkuu wa idara mpaka mfagizi ni Ng'wangaluka, wamesha hali, zugu tuhoye ng'wana wane, naliyomba giiki, tukamate kumi this time.

Hongera kwa kila kitu binti Njelekela. Umeonyesha kwamba wanawake wanaweza pia na umeutumia uchakarikaji wa tangu utoto wako kumaanisha hata uzeeni. God bless you!

Leka
 
Anastahili. Yuko MUHAS kwenye idara ya SUNGUSUNGU akijaribu ku-dilute kisukuma kwa kingoni, maana jamaa walizoea tangu mkuu wa idara mpaka mfagizi ni Ng'wangaluka, wamesha hali, zugu tuhoye ng'wana wane, naliyomba giiki, tukamate kumi this time.

Hongera kwa kila kitu binti Njelekela. Umeonyesha kwamba wanawake wanaweza pia na umeutumia uchakarikaji wa tangu utoto wako kumaanisha hata uzeeni. God bless you!

Leka

She really deserves it.
 
She sure does, but I hope she acknowledged the contribution of the others in this campaign.

Kingine ni kwamba, MEWATA imekuwa kama MEWADAR yaani Medical Women's Association of Dar-es-Salaam!! Ingefaa kama pia wangewashirikisha wenzao wa mikoani. Walau katika hospitali za ruaa za kanda kwani hadi sasa hata kampeni ikifanyika Mbeya, Kilimanjaro au Mwanza utakuta madaktari wa Dar ndio wanaenda huko!!

Naomba asije mtu akasema kuwa madaktari wanawake wa mikoani hawako active manake si kweli. Tunawashukuru waliokuwa na hiyo initiative ya kuanzisha MEWATA ila wafanye decentralization
 
Kwa kuwa amepewa na wamarekani, basi alistahili. Wamarekani wanamichakato mingi yenye uwazi angalau kidogo. Ingekuwa mchakato huu umefanywa na Sirikali yetu, nina uhakika wangempa Andrew Chenge.
 
Kwa kuwa amepewa na wamarekani, basi alistahili. Wamarekani wanamichakato mingi yenye uwazi angalau kidogo. Ingekuwa mchakato huu umefanywa na Sirikali yetu, nina uhakika wangempa Andrew Chenge.

Jamni give me a break..sidhani kama nchi hii imeoza to that extent mpaka kupeana tuzo iwe ni issue.
 
She sure does, but I hope she acknowledged the contribution of the others in this campaign.

Kingine ni kwamba, MEWATA imekuwa kama MEWADAR yaani Medical Women's Association of Dar-es-Salaam!! Ingefaa kama pia wangewashirikisha wenzao wa mikoani. Walau katika hospitali za ruaa za kanda kwani hadi sasa hata kampeni ikifanyika Mbeya, Kilimanjaro au Mwanza utakuta madaktari wa Dar ndio wanaenda huko!!

Naomba asije mtu akasema kuwa madaktari wanawake wa mikoani hawako active manake si kweli. Tunawashukuru waliokuwa na hiyo initiative ya kuanzisha MEWATA ila wafanye decentralization
ninamashaka na uelewa wako juu ya kazi za MEWATA hapa nnchini, MEWATA wamefanya kazi nzuri sana mikoani kwa kushirikisha madaktari katika maeneo husika, kwa kumbukumbu zangu wamefanya kazi MBEYA, MWANZA,MTWARA ,DODOMA , wakiwashirikisha madaktari na wauguzi wa hospitali za maeneo hayo wanawake wengi wamepata tiba, ushauri juu ya matatizo yao ya kiafya.
 
You go girl, You deserve this award Marina. Congrats! and I am very happy for you. I'll call you later today. Once again congratulations for your efforts and dedication.
 
ninamashaka na uelewa wako juu ya kazi za MEWATA hapa nnchini, MEWATA wamefanya kazi nzuri sana mikoani kwa kushirikisha madaktari katika maeneo husika, kwa kumbukumbu zangu wamefanya kazi MBEYA, MWANZA,MTWARA ,DODOMA , wakiwashirikisha madaktari na wauguzi wa hospitali za maeneo hayo wanawake wengi wamepata tiba, ushauri juu ya matatizo yao ya kiafya.

Thanks...Nadhani amekuelewa.
 
ninamashaka na uelewa wako juu ya kazi za MEWATA hapa nnchini, MEWATA wamefanya kazi nzuri sana mikoani kwa kushirikisha madaktari katika maeneo husika, kwa kumbukumbu zangu wamefanya kazi MBEYA, MWANZA,MTWARA ,DODOMA , wakiwashirikisha madaktari na wauguzi wa hospitali za maeneo hayo wanawake wengi wamepata tiba, ushauri juu ya matatizo yao ya kiafya.

If ONLY you knew!! I know exactly what I am saying.
Kazi nzuri imefanyika ndio, lakini kila kitu kiko centrally placed in Dar.
 
Anastahili. Yuko MUHAS kwenye idara ya SUNGUSUNGU akijaribu ku-dilute kisukuma kwa kingoni, maana jamaa walizoea tangu mkuu wa idara mpaka mfagizi ni Ng'wangaluka, wamesha hali, zugu tuhoye ng'wana wane, naliyomba giiki, tukamate kumi this time.

Hongera kwa kila kitu binti Njelekela. Umeonyesha kwamba wanawake wanaweza pia na umeutumia uchakarikaji wa tangu utoto wako kumaanisha hata uzeeni. God bless you!

Leka

MEWATA ni association not a person, tuzo hiyo ilitakiwa itolewe kwa MEWATA as an institution not a person au Njelekela ndiye MEWATA?
 
Kwani MEWATA alikuwa pekeyake au na Dr's wengine, nadhani US Embassy ingesema anawakilisha wana MEWATA wote

Joyce Mhavile wa ITV/RADIO One hajapata

CCJ Oyeeeeeeeeeeeeeee
 
We salute you, Dr Njelekela!

By Editor

29th January 2010

As reported in yesterday's issue of this paper, this year's prestigious Dr Martin Luther King, Junior Drum Major for Justice Award has gone to a Tanzanian surgeon who has tirelessly spearheaded a national crusade against breast cancer.

This champion of hope is none other than Dr Marina Alois Njelekela, Chairperson of the Medical Women Association of Tanzania (MEWATA) and lecturer in the Department of Physiology at Muhimbili University of Health and Allied Sciences in Dar es Salaam.

Dr Njelekela has been actively involved in breast cancer awareness, screening and treatment campaigns for women in several regions in Tanzania – the goal, resources allowing, being covering the whole country.

Additionally, she has a wealth of experience in research and training related to diabetes as well as to cardiovascular and pulmonary diseases.
By the last count, MEWATA had screened 63,895 women and found 2,978 with various breast problems, including breast cancer. With the association's campaign yet to make inroads into much of the country, there is every reason to believe the total number of cases nationally is much, much bigger than that.

MEWATA's intervention was mainly prompted by the fact that not enough priority has been placed on breast cancer as a public health problem in Tanzania, despite the havoc it wreaks all the way from household to national level.

The association provides health education aimed at raising community awareness on the need to recognise signs and symptoms of breast and cervical cancers and the importance of seeking early medical care.

Dr Njelekela says poverty adds to the complications cancers are commonly associated with in that most women cannot easily make it to screening centres, and hence, her call for MEWATA to change tack so that health trainers reach all women right at the village level.

The award presented to Dr Njelekela honours Tanzanians widely believed to embody the indomitable spirit of legendary American clergyman and civil rights activist Dr Martin Luther King, Jr. (January 15, 1929 – April 4, 196, and his lifelong, peaceful effort to achieve justice for all people.

Dr King spoke passionately of his dream of equality for all Americans, meaning a nation where all people would enjoy the riches of freedom and the security of justice and where the doors of opportunity would be open to all.

There are clear parallels to be drawn between these aspirations and the efforts Dr Njelekela and MEWATA have been making to pull the stings of pain, agony, desperation, stigmatisation and desolation from the lives of Tanzania's women – both those already down with breast cancer and those standing in harm's way.
But lest some people get it wrong, medical experts warn that breast cancer commonly attacks women but it does not spare men!

American businessman, philanthropist and self-help book author William Clement Stone once said: "We have a problem. Congratulations. But it's a tough problem. Then double congratulations."

That's our humble message to Dr Njelekela and MEWATA. We salute them for their devotion and heroism, promise them full support and with them luck.
They have aimed for the moon and, even if they miss the target, they will still have hit quite a few stars.

SOURCE: THE GUARDIAN
 
We salute you, Dr Njelekela!

By Editor

29th January 2010

As reported in yesterday’s issue of this paper, this year’s prestigious Dr Martin Luther King, Junior Drum Major for Justice Award has gone to a Tanzanian surgeon who has tirelessly spearheaded a national crusade against breast cancer.

This champion of hope is none other than Dr Marina Alois Njelekela, Chairperson of the Medical Women Association of Tanzania (MEWATA) and lecturer in the Department of Physiology at Muhimbili University of Health and Allied Sciences in Dar es Salaam.

Dr Njelekela has been actively involved in breast cancer awareness, screening and treatment campaigns for women in several regions in Tanzania – the goal, resources allowing, being covering the whole country.

Additionally, she has a wealth of experience in research and training related to diabetes as well as to cardiovascular and pulmonary diseases.
By the last count, MEWATA had screened 63,895 women and found 2,978 with various breast problems, including breast cancer. With the association’s campaign yet to make inroads into much of the country, there is every reason to believe the total number of cases nationally is much, much bigger than that.

MEWATA’s intervention was mainly prompted by the fact that not enough priority has been placed on breast cancer as a public health problem in Tanzania, despite the havoc it wreaks all the way from household to national level.

The association provides health education aimed at raising community awareness on the need to recognise signs and symptoms of breast and cervical cancers and the importance of seeking early medical care.

Dr Njelekela says poverty adds to the complications cancers are commonly associated with in that most women cannot easily make it to screening centres, and hence, her call for MEWATA to change tack so that health trainers reach all women right at the village level.

The award presented to Dr Njelekela honours Tanzanians widely believed to embody the indomitable spirit of legendary American clergyman and civil rights activist Dr Martin Luther King, Jr. (January 15, 1929 – April 4, 196, and his lifelong, peaceful effort to achieve justice for all people.

Dr King spoke passionately of his dream of equality for all Americans, meaning a nation where all people would enjoy the riches of freedom and the security of justice and where the doors of opportunity would be open to all.

There are clear parallels to be drawn between these aspirations and the efforts Dr Njelekela and MEWATA have been making to pull the stings of pain, agony, desperation, stigmatisation and desolation from the lives of Tanzania’s women – both those already down with breast cancer and those standing in harm’s way.
But lest some people get it wrong, medical experts warn that breast cancer commonly attacks women but it does not spare men!

American businessman, philanthropist and self-help book author William Clement Stone once said: “We have a problem. Congratulations. But it’s a tough problem. Then double congratulations.”

That’s our humble message to Dr Njelekela and MEWATA. We salute them for their devotion and heroism, promise them full support and with them luck.
They have aimed for the moon and, even if they miss the target, they will still have hit quite a few stars.

SOURCE: THE GUARDIAN

Asante sana kwa taarifa za undani zaidi...heko Dr Marina udume milele
 
We salute you, Dr Njelekela!

By Editor

29th January 2010

As reported in yesterday’s issue of this paper, this year’s prestigious Dr Martin Luther King, Junior Drum Major for Justice Award has gone to a Tanzanian surgeon who has tirelessly spearheaded a national crusade against breast cancer.

This champion of hope is none other than Dr Marina Alois Njelekela, Chairperson of the Medical Women Association of Tanzania (MEWATA) and lecturer in the Department of Physiology at Muhimbili University of Health and Allied Sciences in Dar es Salaam.

Dr Njelekela has been actively involved in breast cancer awareness, screening and treatment campaigns for women in several regions in Tanzania – the goal, resources allowing, being covering the whole country.

Additionally, she has a wealth of experience in research and training related to diabetes as well as to cardiovascular and pulmonary diseases.
By the last count, MEWATA had screened 63,895 women and found 2,978 with various breast problems, including breast cancer. With the association’s campaign yet to make inroads into much of the country, there is every reason to believe the total number of cases nationally is much, much bigger than that.

MEWATA’s intervention was mainly prompted by the fact that not enough priority has been placed on breast cancer as a public health problem in Tanzania, despite the havoc it wreaks all the way from household to national level.

The association provides health education aimed at raising community awareness on the need to recognise signs and symptoms of breast and cervical cancers and the importance of seeking early medical care.

Dr Njelekela says poverty adds to the complications cancers are commonly associated with in that most women cannot easily make it to screening centres, and hence, her call for MEWATA to change tack so that health trainers reach all women right at the village level.

The award presented to Dr Njelekela honours Tanzanians widely believed to embody the indomitable spirit of legendary American clergyman and civil rights activist Dr Martin Luther King, Jr. (January 15, 1929 – April 4, 196, and his lifelong, peaceful effort to achieve justice for all people.

Dr King spoke passionately of his dream of equality for all Americans, meaning a nation where all people would enjoy the riches of freedom and the security of justice and where the doors of opportunity would be open to all.

There are clear parallels to be drawn between these aspirations and the efforts Dr Njelekela and MEWATA have been making to pull the stings of pain, agony, desperation, stigmatisation and desolation from the lives of Tanzania’s women – both those already down with breast cancer and those standing in harm’s way.
But lest some people get it wrong, medical experts warn that breast cancer commonly attacks women but it does not spare men!

American businessman, philanthropist and self-help book author William Clement Stone once said: “We have a problem. Congratulations. But it’s a tough problem. Then double congratulations.”

That’s our humble message to Dr Njelekela and MEWATA. We salute them for their devotion and heroism, promise them full support and with them luck.
They have aimed for the moon and, even if they miss the target, they will still have hit quite a few stars.

SOURCE: THE GUARDIAN

Big up...
 
Kwa kuwa amepewa na wamarekani, basi alistahili. Wamarekani wanamichakato mingi yenye uwazi angalau kidogo. Ingekuwa mchakato huu umefanywa na Sirikali yetu, nina uhakika wangempa Andrew Chenge.

Kama sio chenge basi wangempa Sophia simba!
 
Back
Top Bottom