Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Hii ni type ya wale watu ambao enzi zile tukiwa Chuo nadhani waliamini huko mtaani kazi zinapatikana pale unapoambatanisha CV yako na kadi ya CCM. Walikuwa wanani-bore sana hawa. Binafsi naamini unatakiwa mtu kujitoa fahamu ili uwe mwanachama wa kweli (si mnafiki) wa CCM. Ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko mtu mwenye akili zake timamu, mkweli na mpenda nchi yake kuwa CCM kwa sasa.