ZIPOMPAPOMPA
Member
- Nov 29, 2010
- 50
- 10
Nimejaribu kuchunguza upepo wa kisiasa tanzania na kusoma nyakati then nimegundua mambo yafuatayo:
Kuna uwezekano mkubwa kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hautafanyika kukiwa na tanzania kutokana na sababu nyingi moja kubwa ni kwamba kwa sasa zanzibar, inajitangaza kama nchi, na inaonekana wapo kwenye mchakato mkubwa wa kujitoa kwenye muungano, na kutaka kama ni masuala ya muungano, basi tuunganishwe na jumuiya ya afrika mashariki, kwa namna hiyo kama watafanikiwa, hakutakuwa tena na uchaguzi wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
Iwapo suala la muungano litakuwa ndoto, kuna uwezekano mkubwa wa chama cha mapinduzi kuvunjwa, kwa sababu ccm ni matokeo ya kuunganishwa kwa tanu na asp.
Kama hilo litatokea, viongozi wa ccm wa tanzania bara, wataanzisha chama kingine, na watajitokeza watu weeengi kuomba kugombea nafasi ya urais.
Mgombea atakayepitishwa ni dk. John pombe magufuli.
Kwa kuwa ccm ina sera ya kuwa-empower wanawake, hiyo ccm mpya nayo itafuata hayo hayo na hatimaye watamsimamisha prof. Anna tibaijuka, kama mgombea mwenza.
Kwa kuwa kutakuwa na mgogoro mkubwa katika chama cha chadema, juu ya nani agombee uraisi, suala hili litapekeka ushindi kwa ccm mpya. Wakati huo chama cha cuf kitaonekana kufa kabisa kwa kuwa nguvu yake ipo zanzibar.
Hayo ni maono wakuu, mwenye lake aseme.
Kuna uwezekano mkubwa kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hautafanyika kukiwa na tanzania kutokana na sababu nyingi moja kubwa ni kwamba kwa sasa zanzibar, inajitangaza kama nchi, na inaonekana wapo kwenye mchakato mkubwa wa kujitoa kwenye muungano, na kutaka kama ni masuala ya muungano, basi tuunganishwe na jumuiya ya afrika mashariki, kwa namna hiyo kama watafanikiwa, hakutakuwa tena na uchaguzi wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
Iwapo suala la muungano litakuwa ndoto, kuna uwezekano mkubwa wa chama cha mapinduzi kuvunjwa, kwa sababu ccm ni matokeo ya kuunganishwa kwa tanu na asp.
Kama hilo litatokea, viongozi wa ccm wa tanzania bara, wataanzisha chama kingine, na watajitokeza watu weeengi kuomba kugombea nafasi ya urais.
Mgombea atakayepitishwa ni dk. John pombe magufuli.
Kwa kuwa ccm ina sera ya kuwa-empower wanawake, hiyo ccm mpya nayo itafuata hayo hayo na hatimaye watamsimamisha prof. Anna tibaijuka, kama mgombea mwenza.
Kwa kuwa kutakuwa na mgogoro mkubwa katika chama cha chadema, juu ya nani agombee uraisi, suala hili litapekeka ushindi kwa ccm mpya. Wakati huo chama cha cuf kitaonekana kufa kabisa kwa kuwa nguvu yake ipo zanzibar.
Hayo ni maono wakuu, mwenye lake aseme.