kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
Ni kwenye kipindi cha Jenereli on Monday.
Huyu kiongozi wa kuipamba rushwa!? Sintasikiliza!
Hilo dudu wala
haliumi,sioni hata swali la kumuuliza huyo,mengi ya majibu atakayotoa
nnayajua tayari.
Ni kwenye kipindi cha Jenereli on Monday.
tuone!!!!
Karibu kamanda wa vita,uko juu ni system inakuangusha
Si aende TBC1?