mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,378
- 3,825
Kwanini Makamu wa rais Dk Gharib Bilal hasikiki sana au si maarufu sana kwenye vyombo vya habari?
Nilifanya kama kautafiti fulani au kama kautani hivi nikauliza watu wapata 10 au zaidi randomly "hivi makamu wa raisi ni nani?"
ni watu wanne tu waliweza kujibu kwa haraka kwa usahihi mmoja alipatia baada ya kufikiri kidogo. wote waliweza kuwataja Mheshimiwa spika na Waziri mkuu bila kusita
Je, hii ni ishara kuwa vyeo vingi katika ngazi ya taifa viangaliwe upya?
Nilifanya kama kautafiti fulani au kama kautani hivi nikauliza watu wapata 10 au zaidi randomly "hivi makamu wa raisi ni nani?"
ni watu wanne tu waliweza kujibu kwa haraka kwa usahihi mmoja alipatia baada ya kufikiri kidogo. wote waliweza kuwataja Mheshimiwa spika na Waziri mkuu bila kusita
Je, hii ni ishara kuwa vyeo vingi katika ngazi ya taifa viangaliwe upya?