Dk Chitega: Ninawashukuru madaktari wote nchi nzima kusitisha huduma

Mtamlaumu JK kwa kila hali lakini ukweli unabakia kwamba asilimia 80 ya bajeti ya AFYA inatumiwa kwa matumizi ya kawaida. Iwe mishahara posho na kadhalika, hivyo ukitaka mishahara mikubwa zaidi ina maana tunataka matumizi zaidi ya kawaida.

Haitamsaidia mwananchi hata kidogo, swala ni kukata matumizi, kuondoa malipo yasiyokuwa na maana sehemu zote amabazo viongozi wetu wanahudumiwa.

Tukate mashangingi, tukate posho, tukate fungu la chai, kuwalipia wafanyakazi na madereva wa viongozi. Bila kufanya hayo hatuwezi kabisa kupata suluhu kwa kuitafuta raise ya mishahara kutoka fungu la maendeleo.
 
Mtamlaumu JK kwa kila hali lakini ukweli unabakia kwamba asilimia 80 ya bajeti ya AFYA inatumiwa kwa matumizi ya kawaida. Iwe mishahara posho na kadhalika, hivyo ukitaka mishahara mikubwa zaidi ina maana tunataka matumizi zaidi ya kawaida.

Haitamsaidia mwananchi hata kidogo, swala ni kukata matumizi, kuondoa malipo yasiyokuwa na maana sehemu zote amabazo viongozi wetu wanahudumiwa.

Tukate mashangingi, tukate posho, tukate fungu la chai, kuwalipia wafanyakazi na madereva wa viongozi. Bila kufanya hayo hatuwezi kabisa kupata suluhu kwa kuitafuta raise ya mishahara kutoka fungu la maendeleo.

Kuongezea upande wa mikato tukate pia na idadi ya madaktari tunao watengeneza kwa mwaka, apparently tunatengeneza mia saba kwa mwaka wakati tunaajili miambili tu (according to mwana JF mmoja jana). Tupunguze tuweke mia tatu na kuweka fierce competition kwenye kupata bahati ya kusomea udaktari na hiyo itakayo baki ipelekwe kuongeza ufanisi huko mahospitalini.

Hiwe sector inayojulikana ina privilege kutokana na ugumu wa kupata nafasi na wafundishwe ethical the practice clearly amna hapo kwa sasa. Sijawahi ona kokote duniani mgomo wa madktari ambao hupo total, tena wana washinikiza na wengine wagome, poor ethical training huko walipopita.

Kwa sababu wengi humu wanahela za kukimbilia private ndio maana hawaoni tatizo lakini kama ni kumjali kila mfanyakazi tuombe sasa na mgomo wa polisi hili madhara yake yashuhudiwe na wote kwenye jamii. Tunausifia huu wa madokta kwa sababu wengine wana mbinu za pakukimbilia. We want equality and level playing field tuachane na walimu na wengine wote tuhamie kwa polisi wa usalama sasa.

Ndio uone wanafiki watakavyokuja juu wakijua jamaa wataingia mitaa ya uzunguni kujichukulia bila ya kujali, lakini kwa sasa wanaokufa walalahoi madokta wanasifiwa upuuzi.
 
Kuongezea upande wa mikato tukate pia na idadi ya madaktari tunao watengeneza kwa mwaka, apparently tunatengeneza mia saba kwa mwaka wakati tunaajili miambili tu (according to mwana JF mmoja jana). Tupunguze tuweke mia tatu na kuweka fierce competition kwenye kupata bahati ya kusomea udaktari na hiyo itakayo baki ipelekwe kuongeza ufanisi huko mahospitalini.

Hiwe sector inayojulikana ina privilege kutokana na ugumu wa kupata nafasi na wafundishwe ethical the practice clearly amna hapo kwa sasa. Sijawahi ona kokote duniani mgomo wa madktari ambao hupo total, tena wana washinikiza na wengine wagome, poor ethical training huko walipopita.

Kwa sababu wengi humu wanahela za kukimbilia private ndio maana hawaoni tatizo lakini kama ni kumjali kila mfanyakazi tuombe sasa na mgomo wa polisi hili madhara yake yashuhudiwe na wote kwenye jamii. Tunausifia huu wa madokta kwa sababu wengine wana mbinu za pakukimbilia. We want equality and level playing field tuachane na walimu na wengine wote tuhamie kwa polisi wa usalama sasa.

Ndio uone wanafiki watakavyokuja juu wakijua jamaa wataingia mitaa ya uzunguni kujichukulia bila ya kujali, lakini kwa sasa wanaokufa walalahoi madokta wanasifiwa upuuzi.
Kuna tatizo kubwa sana la kimfumo ktk sekta zote za ajira nchini kiasi kwamba tunawaajiriwa wengi sana ktk kazi ambayo inaweza fanywa na mtu mmoja, matumizi ya kupuuzi kabisa ambayo hayaongezi ufanisi wala quality ya uzalishaji toka Bunge hadi household majumbani mwetu. NI uvivu tu umetujaa tunataka malipo makubwa..Huu ni wakati sisi wananchi kupiga vita matumizi mabaya ya serikali bila kuchagua na kuacha soko li determine price.

Mawili serikali iwe na Hospital zake, siamini hizi hadithi za kwamba serikali ati ilishindwa na kama kuna ukweli sasa wanajenga hizi nyingine za nini? wanafundisha madaktari kwa nini tena wengine wakimaliza wanakwenda private..Madaktari wasomeshwe na waajiriwe kwa mkataba wa miaka kadhaa kwa kiwango kadhaa cha mshahara na jinsi ya kupanda cheo na mshahara wake, na hawaruhusiwi kufungua Zahanati zao binafsi. Hii ndio inawapa kiburi maana wengi waliogoma leo wanawaelekeza wagonjwa ktk zahanati zao binafsi. It's good business kwao lakini wananchi hawalitazami hili maana hata wakiachishwa kazi bado wana own zahanati ambazo zitaingiza fedha (soko la wagonjwa lipo). Mtumishi wa serikali abakie serikalini haruhusiwi kufungua biashara nje, maana ndio wanavyotuibiwa madawa na vifaa vya huduma wakiziacha za serikali hazina kitu.

Hospital za binafsi zijiendeshe zenyewe na mgonjwa ndiye atalipiwa na serikali tuseme asilimia 80 au bima yake hakuna huu upuuzi wa kuzigawia Hospital fungu la fedha halafu wao waamue watazitumia vipi bila Auditing kisha yakitokea matatizo ilaumiwe serikali na sio mtumiaji.

Kwa Polisi bado umeenda mbali sana mimi ningeomba wajakazi ktk majumba ya watu wagome kupika, kufua, kulea watoto na kadhalika kutokana na mishahara midogo na hali mbaya ya kazi halafu tuone kama kweli watu watakomaa kuunga mkono na kusema tutazifanya kazi hizo sisi wenyewe.
 
Kuna tatizo kubwa sana la kimfumo ktk sekta zote za ajira nchini kiasi kwamba tunawaajiriwa wengi sana ktk kazi ambayo inaweza fanywa na mtu mmoja, matumizi ya kupuuzi kabisa ambayo hayaongezi ufanisi wala quality ya uzalishaji toka Bunge hadi household majumbani mwetu. NI uvivu tu umetujaa tunataka malipo makubwa..Huu ni wakati sisi wananchi kupiga vita matumizi mabaya ya serikali bila kuchagua na kuacha soko li determine price.

Mawili serikali iwe na Hospital zake, siamini hizi hadithi za kwamba serikali ati ilishindwa na kama kuna ukweli sasa wanajenga hizi nyingine za nini? wanafundisha madaktari kwa nini tena wengine wakimaliza wanakwenda private..Madaktari wasomeshwe na waajiriwe kwa mkataba wa miaka kadhaa kwa kiwango kadhaa cha mshahara na jinsi ya kupanda cheo na mshahara wake, na hawaruhusiwi kufungua Zahanati zao binafsi. Hii ndio inawapa kiburi maana wengi waliogoma leo wanawaelekeza wagonjwa ktk zahanati zao binafsi. It's good business kwao lakini wananchi hawalitazami hili maana hata wakiachishwa kazi bado wana own zahanati ambazo zitaingiza fedha (soko la wagonjwa lipo). Mtumishi wa serikali abakie serikalini haruhusiwi kufungua biashara nje, maana ndio wanavyotuibiwa madawa na vifaa vya huduma wakiziacha za serikali hazina kitu.

Hospital za binafsi zijiendeshe zenyewe na mgonjwa ndiye atalipiwa na serikali tuseme asilimia 80 au bima yake hakuna huu upuuzi wa kuzigawia Hospital fungu la fedha halafu wao waamue watazitumia vipi bila Auditing kisha yakitokea matatizo ilaumiwe serikali na sio mtumiaji.

Kwa Polisi bado umeenda mbali sana mimi ningeomba wajakazi ktk majumba ya watu wagome kupika, kufua, kulea watoto na kadhalika kutokana na mishahara midogo na hali mbaya ya kazi halafu tuone kama kweli watu watakomaa kuunga mkono na kusema tutazifanya kazi hizo sisi wenyewe.

Hili la serikali kujitakia linaeleweka na lishasemwa na wengi humuhumu jamvini huwezi kukuta watu baa saa nne kama wana majukumu huko makazini na perfomance based systems. Serikali ime over employ pengine ndio njia pekee ijuayo ni kutupa tu hela.

Maana kama kungekuwa na sehemu za uzalishaji atleast unajua idadi ni kubwa lakini imesambazwa sisi tumejaza wafanyakazi kwenye administration ya serikali na kuwalipa kwa kipato cha serikali, wakati huo huo uzalishaji amna zaidi ya ukusunyaji ushuru. Well hiyo ni discussion nyingine na wakati mwingine na thread nyingine ambayo ina vilaza wengi mawaziri waliopewa wadhifa pengine waziri-mpya wa fedha, waviwanda, miundombinu, TAMISEMI and their poor liaison skills and creating future development.

By the way ni kweli kabisa kuna haja ya kuangalia contracts za hawa jamaa kuanzia mishahara from junior doctors to the senior practitioners and clear contracts of what is expected of them whilst working for the government

Well vilevile jamaa anaewachagua keshaitwa mdhaifu either yeye mwenyewe or he doesn't understand he runs a government that is not clearly organized and coordinated mengi yatampita na kuonekana mdhaifu (the latter is my take).

On your second argument 'house maids' wapo private sector migomo yao haidhiri jamii zaidi ya baba mwenye nyumba. Lakini kwa kuwa madokta wanaona hawana vifaa sahihi vya kazi hivyo wagome na mgomo wenyewe ni kuwaumiza wengine. Its time na polisi wagome maana huko maporini saa zingine wanaenda pambana na majangiri ambayo polisi ushambuliwa na kuuliwa kwa kutopata quick back up, wakati wenzao ulaya wana vifaa na quick response unities its time na wetu waanze kudai ma-helcopter, magari ambayo yanaweza kimbizana na ma-vogue yakishaporwa hili kazi yao ifanyike vizuri. No next ni mgomo wa polisi i can go on and on why the sector is poorly equipped.

Hawa mapolisi wanafanya kazi kwa vifaa duni sana na mishahara yao ni duni mgomo ujao huwe wa polisi tu, tunataka kuhimarisha secta zetu zote why doctors only, kwanza madokta wanamishahara mizuri zaidi ya polisi tayari, its time we look after welfare of the police workforce and its stakeholders too, MGOMO WA POLISI NEXT.
 
Kwa hiyo kutokana na kujaaliwa TAALUMA ya UDAKTARI mnawatenga wasio na taaluma hiyo kwa kuwanyima ESSENTIAL SERVICE?

Mungu YUPO

Na malipo hapa hapa duniani.

Kuwaweka REHANI watanzania wanyonge wanaowategemea kwa UTASHI wa SIASA?

Kukiuka SHERIA ZA NCHI

Vichwa vimesoma hivi, kwa taabu kwa kukesha na miaka mingi....... Eti wamejaaliwa!!

Jaaliwa na wewe udaktari basi ukatibu pale Muhimbili
 
Huyu Chitega ni kiazi kweli. Anasema hivyo kwakuwa yeye yuko hapa mjini na anaweza kwenda Private Hospital. Ningependa wazazi wake na ndugu zake wa karibu walioko huko mkoani na vijijini wangeumwa then tuone hiyo kauli yake. Akili kama ya Kigwangala vile ambaye anafikiria uchawi.


najaribu kufikiri tu kwamba kati ya wewe uleandika upuu9z8i wako hapa na huyo dr. Nani mwenye akili uzozisema.Do you have an idea of how many preventable deaths do occur everyday kwa sababu tumewapa wapuuzi flani mamlaka ya kuiongoza hii nchi??
Unaikumbuka hii-'How on earth did this man(kikwete),a muzungu worshiper, became a president of a country'? quated from the Guardian UK
na hii hapa...'tumefika hapa tulipo kwa sababu ya udhaifu wa rais,uzembe wa bunge na uupuuzi wa ccm'..jj mnyika.
Mzee shughulika na chanzo cha tatizo sio matokeo.
Nadhani wewe ni ovyo kabisaaa... sina hakika kama ulielewa nilichoandika....point yangu kubwa ni kuwa I do not support huu mgomo kwani resolution haijapatikana lakini bado watu wanazidi kufa, I do not support utawala uliopo either wala chama hao, lakini kama resolution haijapatikana hadi sasa means huu mgomo unazidisha vifo vya watu ambao hawawezi hata kugusa keyboard kama wewe unavyofanya hapo.
 
Back
Top Bottom