R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Naomba Mungu ajaalie yapatikane maradhi yanayotibika Hospitali kwa Dkt Chitega alafu akienda Hospitali akute MGOMO
Mkame hebu kwanzan tuambie ule mpango wako wa kubadilisha makatibu wakuu na ma DG lini? au huwa unawaza 'kuwekeza' ukiwa na dhiki tu lakini 'ukishiba' unasahau kuwekeza?
Yeye ni mwenzetu so far tutamtibu! Tunakuwepo maeneo ya Hospitali na kumtibu staff mwenzetu yeyote au hata tusipokuwepo tunapigiwa simu na kutokea maeneo hayo!Naomba Mungu ajaalie yapatikane maradhi yanayotibika Hospitali kwa Dkt Chitega alafu akienda Hospitali akute MGOMO
Second in comand after ulimbokaChitega ni nani?
liwalo na liweserikali imetupiwa jiwe gizani! waache wamtafute mpigaji, wataambuli patupu! sasa kuleta madaktari wastaafu kazini tena maana yake ni nini?? MAANA HALISI YA DHAIFU!!! SHAME ON U CCM!
Yeye ni mwenzetu so far tutamtibu! Tunakuwepo maeneo ya Hospitali na kumtibu staff mwenzetu yeyote au hata tusipokuwepo tunapigiwa simu na kutokea maeneo hayo!
liwalo na liwe
Chitega ni nani?
najaribu kufikiri tu kwamba kati ya wewe uleandika upuu9z8i wako hapa na huyo dr. Nani mwenye akili uzozisema.Do you have an idea of how many preventable deaths do occur everyday kwa sababu tumewapa wapuuzi flani mamlaka ya kuiongoza hii nchi??Huyu Chitega ni kiazi kweli. Anasema hivyo kwakuwa yeye yuko hapa mjini na anaweza kwenda Private Hospital. Ningependa wazazi wake na ndugu zake wa karibu walioko huko mkoani na vijijini wangeumwa then tuone hiyo kauli yake. Akili kama ya Kigwangala vile ambaye anafikiria uchawi.
kikwete na serikali yake wanaua wangapi pesa ya
1 rada
2 wasiolipa kodi madini
3 wasiolipa kodi makampuni ya simu
4 mikata yote mibovu
pesa zile zingeweza kulipa mishahara waalimu madoctor mishahara mizuri
hivyo kikwete na pinda ni wauwaji sana kuliko mgomo wa madoctor