Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Huyu mzee kwa nini asikae kimya, kukaa kimya saa nyingine ni busara
Na Datus Boniface
Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana amevijia juu vyama vya siasa na kukosoa kauli mbiu zao ikiwemo ya Movement for Change (M4C), inayotumiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo na V4C ambayo inatumiwa na chama cha Wananchi CUF, kuwa siyo wakati wake kwa sasa.
Hivyo,waiache serikali iliyoko madarakani chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutekeleza ahadi na ilani zake kwa Wananchi.
Dk. Bana alisema hayo jijini Dar es Salaam leo katika semina ya siku moja yenye kujadili masuala ya Sheria kwa vyama vya siasa iliyoandaliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
M4C siyo wa halali siyo wakati wake kwa sasa, kama kila chama kitakuja na Kauli Mbiu yake itaipeleka nchi pabaya, Wananchi wana matatizo mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa kazi kwa sasa badala ya mikutano inayofanywa na vyama vya siasa alisema.
Kwa mujibu wa kauli yake, Kauli Mbiu hizo zina wakati wake ikiwemo kipindi cha kampeni za uchaguzi.
Alienda mbali zaidi na kuwataka viongozi wa vyama hivyo kuiacha serikali itekeleze ahadi zake kwa uhuru na amani.
Na Datus Boniface
Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana amevijia juu vyama vya siasa na kukosoa kauli mbiu zao ikiwemo ya Movement for Change (M4C), inayotumiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo na V4C ambayo inatumiwa na chama cha Wananchi CUF, kuwa siyo wakati wake kwa sasa.
Hivyo,waiache serikali iliyoko madarakani chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutekeleza ahadi na ilani zake kwa Wananchi.
Dk. Bana alisema hayo jijini Dar es Salaam leo katika semina ya siku moja yenye kujadili masuala ya Sheria kwa vyama vya siasa iliyoandaliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
M4C siyo wa halali siyo wakati wake kwa sasa, kama kila chama kitakuja na Kauli Mbiu yake itaipeleka nchi pabaya, Wananchi wana matatizo mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa kazi kwa sasa badala ya mikutano inayofanywa na vyama vya siasa alisema.
Kwa mujibu wa kauli yake, Kauli Mbiu hizo zina wakati wake ikiwemo kipindi cha kampeni za uchaguzi.
Alienda mbali zaidi na kuwataka viongozi wa vyama hivyo kuiacha serikali itekeleze ahadi zake kwa uhuru na amani.
[PHP][JFMP3][/JFMP3]
Huyu jamaa kila siku zinavyo songa mbele na yeye huzidi kuchanganyikiwa kwa mapenzi ya dhati aliyonayo kwa ccm badala ya nchi yake..
Kwani kazi ya chama cha siasa ni nini? Au wa kutatua matatizo ya wananchi na nani? Mbona kisomo chake kinaonekana kimeshindwa kumfanya kuwa mtu mwenye fikra chanya badala yake ni kama hajasoma na hana uelewa angalau wa kiwango hata cha asiye soma, mapenzi bwana tabu tupu.
the best swahili novel,
pia usimsahau prof Haroub Othman,kuna siku SHIVJ ALISOMA SHAIRI PALE UDSM AKASEMA KWANINI WANAKUFA WATU WAZURI AMBAO BADO WANAHITAJIKA???
Kamanda una kumbukumbu nzuri sana.
Hiyo ilikuwa ni katika kumbukumbu ya kifo cha Prof.Othman, pale Nkurumah Hall, mwaka 2008.
Katika utenzi wake,Shivji alionyesha masikitiko kwa nini Mungu anachukua watu wema na kuacha mafisadi na wezi
Mstari huo, katika shairi lake hilo ulinigusa sana wakati huo na hata sasa ulipourudia umenigusa pia.
Asante kamanda Ngala Moja.
CCM na serikali yake imekabwa koo, sasa inatumia vibaraka wake kuomba huruma. Aseme tu kama kuna sheria imevunjwa, vinginevyo akae kimya.
Ila CUF nao wamezidi kuiga kuliko hata mume wao CCM, walianza wote kuiga matumizi ya Helkopta, sasa leo wanaiga kuchangisha pesa(harambe), sasa mpaka V4C .
CCM na serikali yake imekabwa koo, sasa inatumia vibaraka wake kuomba huruma. Aseme tu kama kuna sheria imevunjwa, vinginevyo akae kimya.
Ila CUF nao wamezidi kuiga kuliko hata mume wao CCM, walianza wote kuiga matumizi ya Helkopta, sasa leo wanaiga kuchangisha pesa(harambe), sasa mpaka V4C .
umbumbu unakusumbua. V4c ipo muda mrefu toka 2010 na harambee ya cuf haifanani na cdm ya cuf matembezi ya hisani nayanakwenda mbali zaidi kuzindua opereshen mchakamchaka. Kipi kimeigwa acheni utoto. Cuf inamipango yake.,.