Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Ni jambo la busara kuwa na madiwani wengi kwani automaticaly tutakuwa na wabunge wa kutosha na tutakuwa wenyeviti wa halimashauri nyingiLema apigwe marufuku kuingia Dodoma, huyu mtu ni hatari sana anaweza sababisha chaguzi ndogo nyingi sana kama akiingia Dodoma, sasa ameanza na madiwani unadhani baada ya hapo ni nini?..lols