Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
God Bless Lema kuwa nje ya bunge ni pigo kubwa kwa CCM, Wao wana pesa sisi tuna mungu.
M4C with no apology.
M4C with no apology.
Wengi wameanza kubadilisha kauli wakijifanya wako neutral.Wakop wapi wale vibaraka wa CCM hapa jamvini????
Nape maji ya Shingo
mh hivi huyu Lema ana ushawishi gani hasa?
Biashara ya CCM wanafukuza mbunge mmoja wanapoteza madiwani 20 akili matope.God Bless Lema kuwa nje ya bunge ni pigo kubwa kwa CCM, Wao wana pesa sisi tuna mungu.
M4C with no apology.
Godbless Rema alifunga na kuomba siku 7. Hakika Mungu anajibu maombi.
wao wana pesa sisi tuna Mungu by Godbless Rema.
Ninasikia HARUFU MBAYA ya mzoga wa jitu nene sana lililokuwa likiitwa CCMBreaking News:
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Lugata (CCM) Wilaya ya Sengerema Adrian Tizeba amekihama chama hicho na kuhamia CHADEMA,
Diwani huyo kwa sasa yuko na Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema pamoja na Katibu wa Chadema Kinondoni wakielekea kwenye mkutano wa hadhara Mjini Geita ambapo atakabidhiwa kadi yake mpya ya CHADEMA na Katibu wa Mkuu wa chama hicho Mh. Wilbrod Slaa,
Kwa Mujibu wa Mh. Lema, kesho atawatangaza Madiwani wengine wanne wa Jimbo la Sengerema (CCM) wakiwa na wenyeviti 22 wa vitongoji pamoja na wanachama wao ambao kwa pamoja wamehamua kukihama Chama cha Mapinduzi na Kuhamia CHADEMA wakilalamika kufilisikia kimawazo na kimtazamo kwa kilichokuwa Chama chao.
Sikiliza Arusha Mambo FM, tembelea www.arushamambo.com click ''Sikiliza Arusha Mambo FM..." na tutajiunga na na wenzetu walioko eneo la tukio ili kuwaletea mahojiano ya moja kwa moja ya kuhama kwa diwani huyo.
Source Arusha Mambo.
Breaking News:
Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Lugata (CCM) Wilaya ya Sengerema Adrian Tizeba amekihama chama hicho na kuhamia CHADEMA,
Diwani huyo kwa sasa yuko na Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema pamoja na Katibu wa Chadema Kinondoni wakielekea kwenye mkutano wa hadhara Mjini Geita ambapo atakabidhiwa kadi yake mpya ya CHADEMA na Katibu wa Mkuu wa chama hicho Mh. Wilbrod Slaa,
Kwa Mujibu wa Mh. Lema, kesho atawatangaza Madiwani wengine wanne wa Jimbo la Sengerema (CCM) wakiwa na wenyeviti 22 wa vitongoji pamoja na wanachama wao ambao kwa pamoja wamehamua kukihama Chama cha Mapinduzi na Kuhamia CHADEMA wakilalamika kufilisikia kimawazo na kimtazamo kwa kilichokuwa Chama chao.
Sikiliza Arusha Mambo FM, tembelea www.arushamambo.com click ''Sikiliza Arusha Mambo FM..." na tutajiunga na na wenzetu walioko eneo la tukio ili kuwaletea mahojiano ya moja kwa moja ya kuhama kwa diwani huyo.
Source Arusha Mambo.
Hv hii operesheni inaitwaje sasa? ningekuwa frontline ningependekeza iitwe OPERESHENI GHADHABU YA UMMA.
Na bado kesho ndiyo sherehe yenyewe.Lema apigwe marufuku kuingia Dodoma, huyu mtu ni hatari sana anaweza sababisha chaguzi ndogo nyingi sana kama akiingia Dodoma, sasa ameanza na madiwani unadhani baada ya hapo ni nini?..lols
Lema apigwe marufuku kuingia Dodoma, huyu mtu ni hatari sana anaweza sababisha chaguzi ndogo nyingi sana kama akiingia Dodoma, sasa ameanza na madiwani unadhani baada ya hapo ni nini?..lols