diwani wa kata ya mwawaza jimbo la shinyanga mjini amefariki dunia baada ya kupata ajali ya pikipiki
source; mimi mwenyewe niko eneo la tukio
R.I.P diwani, nina ombi maalumu inapotokea suala la kifo suala la Magamba na Magwanda tuweke pembeni tuwe wamoja kwani kila mtu atakufa. Kuwa Magamba au Magwanda siyo symbol ya superiority au inferiority wakuu.
Diwani wa kata ya mwawaza jimbo la shinyanga mjini amefariki dunia baada ya kupata ajali ya pikipiki
source; mimi mwenyewe niko eneo la tukio
Sisi tupo pale kuhakikisha kama kweli amekufa ili CDM tuchukue kata yetu, Yeye RIP
R.I.P diwani, nina ombi maalumu inapotokea suala la kifo suala la Magamba na Magwanda tuweke pembeni tuwe wamoja kwani kila mtu atakufa. Kuwa Magamba au Magwanda siyo symbol ya superiority au inferiority wakuu.
Sisi tupo pale kuhakikisha kama kweli amekufa ili CDM tuchukue kata yetu, Yeye RIP
Diwani wa kata ya mwawaza jimbo la shinyanga mjini amefariki dunia baada ya kupata ajali ya pikipiki
source; mimi mwenyewe niko eneo la tukio
Mkuu kafa mmoja tu? mimi nadhani walikuwa wamepakizana ili wote walale salama. Magamba nuksi.Diwani wa kata ya mwawaza jimbo la shinyanga mjini amefariki dunia baada ya kupata ajali ya pikipiki
source; mimi mwenyewe niko eneo la tukio