Ni vibaka tu wa Igunga hakuna utekaji hapo!
wanahangaika nini saa saba usiku, si walale!
upuuzi mtupu
wanahangaika nini saa saba usiku, si walale!
upuuzi mtupu
Haya mambo haya sasa naanza kutoyaamini!!
Crashwise, hiyo story yako ina matundu mengi sana.
1)akamrukia dereve...........washirika wa dereva wakakimbia, je gari ilikuwa imesimama au inatembea? na ni station wagon, right?
2) dereva aliyepewa roba au ambaye anapambana na mtu aliyeng'ang'ania steering wheel huku gari ikitembea, aliwezaje kumpa kipigo Ephata, na kumtupa nje ya gari?? na huyo mwenzake Ephata alikuwa anafanya nini??
hizi story zinaanza kuniudhi sasa!!
Diwani wa CDM Ndg Nanyaro Ephata alitekwa yeye na mwenzake mmoja aitwaye Boniface na kupelekwa kusikojulikana. Wakiwa njiani kurudi hotelini ghafla walivamiwa na watu ambao walikuwa katika Toyota Landcruiser S/W T 203 BKW na kutekwa.
Huo ulikuwa ni usiku wa saa saba ambapo walikuwa wamemaliza kikao chao na kwenda kupaki magari mbali kidogo na hoteli waliyofikia ambayo haina parking. Wakiwa ndani ya gari, waliambiwa kuwa wasali sala zao za mwisho kwani kiherehere chao ndicho kilichowaponza! Baada ya kusikia hivyo Nanyaro ambae ni diwani wa Chadema Arusha kata ya Revolosi alijipanga ama afe yeye au wao nao wafe, hivyo alimrukia dereva na kuanza kung'an'gania steringi ili gari lipoteze mwelekeo. Kuona balaa limeanza jamaa mmoja alikimbia katika hao watekaji na kubaki watatu.
Dereva alipoona anashindwa kulimudu gari alimpa kipigo Nanyaro na kumsukuma nje ya gari yeye na mwenzake na kuondoka kwa kasi. Huo ulikuwa ni usiku na porini, kibaya zaidi katika purukushani ile jamaa walidondosha simu katika gari lile. Wakajitahidi kufika mjini na kupata msaada toka kwa viongozi wa CDM na kwenda kulipoti tukio hilo polisi ambapo walipofika walikuta tayari wameshafunguliwa kesi na wale jamaa kuwa walitaka kuwateka hao jamaa na wao walifanikiwa kuwadhibiti na kuwapora simu! Basi ikabidi nao watoe maelezo ambayo yalipelekea kurudishiwa simu zao!
Angalizo langu, tabia hii ya utekaji watu naona imeanza kushamiri, tabia hii ni mbaya na inapaswa kukomeshwa mara moja.
si unajua leo ni beer festival leaders club???Mkuu hii comment haifanani na wewe kabisa, sijui umeitoa wapi.
Unanitafutia Ban tu we dogo!!!Katika wa2 mizigo humu jamvini huyu Best ni mmoja wao! Utafikiri kalazimishwa kuja humu. Mtu mwenye uwelewa wa kujua mambo yalivyo hana haja ya kujikanyagakanyaga humu. Kama una kichwa maji acha kuingia humu nenda kwanza Mirembe ama Muhimbili ukatibiwe,Kondoo wee! Unahabarishwa news unaleta mambo yako ya mwaka 47 humu. Kwenda zako kondoo wee!
sounds like it!!!wanahangaika nini saa saba usiku, si walale!
upuuzi mtupu
Ni vibaka tu wa Igunga hakuna utekaji hapo!
Hii habari inachanganya kwa kweli...Hii picha ilikuwa tamu kweli. Watu wanapigana wakati gari ipo kwenye mwendo.. Je diwani aliumia baada ya kupewa kipigo na kuchomoka kutoka kwenye gar?.
habari hii itasadikika tu pale nanyaro mwenyewe atakapoweka wazi, lakini kwa maelezo ya mtoa mada inakuwa ngumu kusadiki, mazingira yanakataa kufikirika.Hii habari inachanganya kwa kweli...