Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Ni Diwani ya kata ya Olturoto kwa tiketi ya CDM ambaye kwa asilimia 95 amesabisha kata kwenda kwingine. Pamoja na jitihada zake za kutoa pesa zake mpaka kufikia kiwango chake cha mwisho huyu jamaa kaonekana kuwa nincompoop;
Kimsingi huyu jamaa baada ya kutoa lile liRange lake likapigwa rangi za chama basi ameshaanza kujiona kuwa yeye ndiye kila kitu ndani ya Chama Mkoani Arusha na hakuna kinachoweza kufanyika bila yeye. Na amekuwa akijitunuku majina hasa lile la mfadhili mkuu wa CDM Mkoani Arusha.
Jeuri hii na kiburi hiki ndiyo ilimfanya adharau viongozi wadogo wa Kata ya Bagata na hata Wilaya ambao ndio waliokuwa chachu ya CDM katika Kata hiyo kwa kuwabebesha tuhumu nzito na kutokana na hizo nguvu zake za pesa hakutaka hata kuwapa nafasi ya kusikilizwa jambo ambalo liliwapa hasira wanachama wengi hasa wa Sasi na kuamua kukihama Chama hicho.
Jamaa amekuwa akijinadi kuwa ndiye Mbunge wa Jimbo la Arumeru na kama Chama hakitampitisha basi Chama nacho kisahau ufadhili wake na gari lakee arudishiwe. Kauli hizi ndizo zilizomgaribi na watu wameamua kumwonesha kuwa kwa tabia aliyonayo hata huo Ubunge ausahau. Hii inatokana na yeye kuonekana kutumia pesa nyingi kumbe anachotegemea ni kulipwa fadhila na Chama kwa kuteuliwa kuwania kiti cha Ubunge. Hivyo jamaa kunyukwa Bangata ni funzo tosha kwake na kaambiwa huo ni mwanzo tu.
Viongozi wa ngazi za juu kuanzia Mkoa na hata Taifa wameonesha kumwogopa sana huyu mtu manake walifikishiwa malalamiko ila mpaka Kata inaondoka hawakuchukua hatua zozote ikiwa ni kwa kumwonya hata kwa maneno. Hivyo ni dhahiri kuwa nguvu za pesa zinaendela kudhihirisha namna zinavyotesa vyama vya siasa Nchini.
Na nguvu hizi zimedhihirishwa na namna ambavyo Chama kiko tayari kupoteza ushindi na si kuwakwaza wale wenye kukisaidia. Yani Sabodo naye angeingia kwenye Siasa hali ingekuwa tete............ Gibson hongera sana
Kimsingi huyu jamaa baada ya kutoa lile liRange lake likapigwa rangi za chama basi ameshaanza kujiona kuwa yeye ndiye kila kitu ndani ya Chama Mkoani Arusha na hakuna kinachoweza kufanyika bila yeye. Na amekuwa akijitunuku majina hasa lile la mfadhili mkuu wa CDM Mkoani Arusha.
Jeuri hii na kiburi hiki ndiyo ilimfanya adharau viongozi wadogo wa Kata ya Bagata na hata Wilaya ambao ndio waliokuwa chachu ya CDM katika Kata hiyo kwa kuwabebesha tuhumu nzito na kutokana na hizo nguvu zake za pesa hakutaka hata kuwapa nafasi ya kusikilizwa jambo ambalo liliwapa hasira wanachama wengi hasa wa Sasi na kuamua kukihama Chama hicho.
Jamaa amekuwa akijinadi kuwa ndiye Mbunge wa Jimbo la Arumeru na kama Chama hakitampitisha basi Chama nacho kisahau ufadhili wake na gari lakee arudishiwe. Kauli hizi ndizo zilizomgaribi na watu wameamua kumwonesha kuwa kwa tabia aliyonayo hata huo Ubunge ausahau. Hii inatokana na yeye kuonekana kutumia pesa nyingi kumbe anachotegemea ni kulipwa fadhila na Chama kwa kuteuliwa kuwania kiti cha Ubunge. Hivyo jamaa kunyukwa Bangata ni funzo tosha kwake na kaambiwa huo ni mwanzo tu.
Viongozi wa ngazi za juu kuanzia Mkoa na hata Taifa wameonesha kumwogopa sana huyu mtu manake walifikishiwa malalamiko ila mpaka Kata inaondoka hawakuchukua hatua zozote ikiwa ni kwa kumwonya hata kwa maneno. Hivyo ni dhahiri kuwa nguvu za pesa zinaendela kudhihirisha namna zinavyotesa vyama vya siasa Nchini.
Na nguvu hizi zimedhihirishwa na namna ambavyo Chama kiko tayari kupoteza ushindi na si kuwakwaza wale wenye kukisaidia. Yani Sabodo naye angeingia kwenye Siasa hali ingekuwa tete............ Gibson hongera sana