Diwani wa Chadema azuia magari ya kwenda kwa babu kutozwa ushuru Arusha

Mwan mpambanaji

JF-Expert Member
Apr 3, 2008
482
131
Leo asubuhi kwenye eneo la Kilombero,kata ya levolosi kulikuwa na kasheshe kubwa kati ya Diwani wa Levolosi kwa tiketi ya CHADEMA kamanda Nanyaro,na wakala wa kampuni ya KMPL aliyekuwa anatoza ushuru wa maegesho.
Diwani huyu aliwakataza kutolipa maana ni kinyume cha sheria,na hakuna kampuni yeyote iliyopewa tenda ya kukusanya ushuru kwenye eneo hilo maana sio stendi bali ni kituo cha kuratibu magari yanayoenda kwa babu,na kitendo chochote cha kutoza kodi kitapandisha nauli za kwenda kwa babu zaidi,baya zaidi huyui wakala hajapitishwa rasmi na vikao vya baraza la madiwani,wakala akakataa ndipo diwani akaita polisi na wakala kupelekwa kituo kikuu cha polisi,nako huko OCD akakataa kuwaweka ndani ndipo huyu kamanda Nanyaro akamweleza DC na sasa hawa wakala wapo ndani.
 
hao mawakala walizoea kufanya kazi "as usual" hyo ndo CDM..
 
Leo asubuhi kwenye eneo la Kilombero,kata ya levolosi kulikuwa na kasheshe kubwa kati ya Diwani wa Levolosi kwa tiketi ya CHADEMA kamanda Nanyaro,na wakala wa kampuni ya KMPL aliyekuwa anatoza ushuru wa maegesho.
Diwani huyu aliwakataza kutolipa maana ni kinyume cha sheria,na hakuna kampuni yeyote iliyopewa tenda ya kukusanya ushuru kwenye eneo hilo maana sio stendi bali ni kituo cha kuratibu magari yanayoenda kwa babu,na kitendo chochote cha kutoza kodi kitapandisha nauli za kwenda kwa babu zaidi,baya zaidi huyui wakala hajapitishwa rasmi na vikao vya baraza la madiwani,wakala akakataa ndipo diwani akaita polisi na wakala kupelekwa kituo kikuu cha polisi,nako huko OCD akakataa kuwaweka ndani ndipo huyu kamanda Nanyaro akamweleza DC na sasa hawa wakala wapo ndani.

Kamamdo Mdogo kabisa tumemkubali!
 
kodi zote tunazolipa kwenye mafuta bado wanaleta vi ushuru vya kijinga!safi sana diwani
 
Makamanda nawashukuru wote kimsingi nilikuwa niwajuze yaliyojiri ila naona mmepata habari yote,ni kweli huyu wakala alitoza ushuru kinyume cha utaratibu eti kwa kuwa tu yeye ni wakala wa kukusanya ushuru kituo kikuu cha mabasi,
Nilimsihi kwa kistaarabu kuacha akakaidi hivyo nikaita polisi,akapelekwa kituo kikuu cha polisi.Kama ambavyo niliwahi kusema huko nyuma,kwangu mimi udiwani ni utumishi,na daima nitatetea maslahi ya watz bila hofu wala uoga
 
Hilo ni Bonge la Goli ... Hapo kwa mara ya kwanza nimeikubali Chadema
 
Makamanda nawashukuru wote kimsingi nilikuwa niwajuze yaliyojiri ila naona mmepata habari yote,ni kweli huyu wakala alitoza ushuru kinyume cha utaratibu eti kwa kuwa tu yeye ni wakala wa kukusanya ushuru kituo kikuu cha mabasi,
Nilimsihi kwa kistaarabu kuacha akakaidi hivyo nikaita polisi,akapelekwa kituo kikuu cha polisi.Kama ambavyo niliwahi kusema huko nyuma,kwangu mimi udiwani ni utumishi,na daima nitatetea maslahi ya watz bila hofu wala uoga

Komredi Nanyaro nimekukubali, hakuna kulala mpaka tunamtoa mkoloni mamboleo lazima Fisadi Kikwete na genge lake la wahuni wang'oke ufisadi uwe kikomo katika kuwanyanyasa watanzania
 
Hii nzuri.. huyo wakala alitafuta easy target ya kujipatia pesa bila kufuata taratibu.. alijua labda nako kilombelo ni standi kuu. Wizi mtupuuuu.
 
Makamanda nawashukuru wote kimsingi nilikuwa niwajuze yaliyojiri ila naona mmepata habari yote,ni kweli huyu wakala alitoza ushuru kinyume cha utaratibu eti kwa kuwa tu yeye ni wakala wa kukusanya ushuru kituo kikuu cha mabasi,
Nilimsihi kwa kistaarabu kuacha akakaidi hivyo nikaita polisi,akapelekwa kituo kikuu cha polisi.Kama ambavyo niliwahi kusema huko nyuma,kwangu mimi udiwani ni utumishi,na daima nitatetea maslahi ya watz bila hofu wala uoga

Huyo wakala ni MWIZI! kazi nzuri mh diwani.
 
Well done Mheshimiwa....People's........
Makamanda nawashukuru wote kimsingi nilikuwa niwajuze yaliyojiri ila naona mmepata habari yote,ni kweli huyu wakala alitoza ushuru kinyume cha utaratibu eti kwa kuwa tu yeye ni wakala wa kukusanya ushuru kituo kikuu cha mabasi,
Nilimsihi kwa kistaarabu kuacha akakaidi hivyo nikaita polisi,akapelekwa kituo kikuu cha polisi.Kama ambavyo niliwahi kusema huko nyuma,kwangu mimi udiwani ni utumishi,na daima nitatetea maslahi ya watz bila hofu wala uoga
 
Makamanda nawashukuru wote kimsingi nilikuwa niwajuze yaliyojiri ila naona mmepata habari yote,ni kweli huyu wakala alitoza ushuru kinyume cha utaratibu eti kwa kuwa tu yeye ni wakala wa kukusanya ushuru kituo kikuu cha mabasi,
Nilimsihi kwa kistaarabu kuacha akakaidi hivyo nikaita polisi,akapelekwa kituo kikuu cha polisi.Kama ambavyo niliwahi kusema huko nyuma,kwangu mimi udiwani ni utumishi,na daima nitatetea maslahi ya watz bila hofu wala uoga

Kamanda tunakukubali na hivyo ndivyo inavyotakiwa kwani kama kapewa kibari cha kukusanya ushuru standi iweje aende sehemu ambayo haimuhusu. Lakini nikuulize juu ya hawa watoza ushuru hivi ni haki kutoza ushuru kwenye makazi ya watu kama Makao mapya na Levolosi?
 
Angekuwa diwani wa CCm angeshinikiza ushuru utozwe halafu baadaye mgawo uende kwenye kile chama cha kidumu fikra ah za nani vile aha basi hata chama chenyewe nimeshaanza kukisahau kwenye memory Q yangu
 
Makamanda nawashukuru wote kimsingi nilikuwa niwajuze yaliyojiri ila naona mmepata habari yote,ni kweli huyu wakala alitoza ushuru kinyume cha utaratibu eti kwa kuwa tu yeye ni wakala wa kukusanya ushuru kituo kikuu cha mabasi,
Nilimsihi kwa kistaarabu kuacha akakaidi hivyo nikaita polisi,akapelekwa kituo kikuu cha polisi.Kama ambavyo niliwahi kusema huko nyuma,kwangu mimi udiwani ni utumishi,na daima nitatetea maslahi ya watz bila hofu wala uoga

kuwa kiongozi ni kuhakikisha maisha yanakuwa nafuu kwa wale unaowaongoza na wewe umefanya wajibu wako,nasikia CDM Arusha maeneo waliowachagua wanakula matunda ya uongozi bora,maana siku moja mama mmoja alinieleza hata kusainiwa fomu zao zinahitaji sahihi na mihuri ya kata au mwenyekiti wa kijiji nyinyi mmeondoa malipo yote hili ni kweli? kama kweli mdumu milele maana walalahoi ndio walikuwa wanakamuliwa na viongozi wa CCM.
kama kweli mmezamilia kuwakomboa watu wa chini basi nawatakia muendelee kuongozi mpaka mna kwenda kaburini.
Pia hayo mazuri ambayo nimesikia kama ni kweli myatangaze ili watanzania tuelewe kazi yenu na manufaa ya nyinyi kuwa viongozi katika taifa letu
 
Back
Top Bottom