rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
- Thread starter
- #41
Mimi nipo mby diwani aliyejiuzuru anaitwa mwakalobo kutoka kata ya nzomve, ameandika barua ya kujiuzulu kwa meya ,lakini cdm wamemkataza kufanya hivyo na wamemtaka afute kauli hiyo. Kwasasa amefichwa mbozi.
Nadhani pesa inatembea baada ya ccm kumeguka
what is this???nahisi chadema inaharibu!