Amewithdrawal baada ya wananchi wa Mbeya kumtishia kuwa watamchinja,wameshika mtego wa Chama Cha Magamba kupitia Mwandosya alivyomnunua na wanajua na pesa zote alizompa mahala alipopewa na maongezi yote yalivyokwenda.Walitaka kumpa kadi kwenye mkutano wake wa leo wananchi wamesema ama zake ama zao ,kama mujuavyo Giant Ndosya amepewa kazi maalumu ya kusambaratisha upinzani Mbeya
toka jana wamekuwa wakisafirrisha wananchi toka Kyela,Mbozi,Ileje,Mbarali.Rungwe,Chunya na wanambeya wamesema kama watahubiri sera zao wasithubutu kukashifu Chadema na viongozi wao ,wakifanya hivyo Mbeya itakuwa majivu leo
Meya Kapunga tayari kapeleka barua Tamisemi eti Diwani kajiuzulu nadhani Chadema Mkoa au Wilaya watalitolea ufafanuzi ,wajinga kweli chama cha Magamba wanarudisha demokrasia nyuma wanataka tutwangane risasi ndio watafurahi
toka jana wamekuwa wakisafirrisha wananchi toka Kyela,Mbozi,Ileje,Mbarali.Rungwe,Chunya na wanambeya wamesema kama watahubiri sera zao wasithubutu kukashifu Chadema na viongozi wao ,wakifanya hivyo Mbeya itakuwa majivu leo
Meya Kapunga tayari kapeleka barua Tamisemi eti Diwani kajiuzulu nadhani Chadema Mkoa au Wilaya watalitolea ufafanuzi ,wajinga kweli chama cha Magamba wanarudisha demokrasia nyuma wanataka tutwangane risasi ndio watafurahi