dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,380
DIWANI WA CCM KATA KISESA MKOANI MWANZA MH. CLEMENT GREGORY MABINA JANA ALIWATOLEA KAULI YA KUWADHIHAKI NA KUWAUDHI WANANCHI WA KITONGOJI CHA KANYAMA KWAMBA, KATA HIYO WAKIMPA SEHEMU YA ENEO(kiwanja/shamba) ATAWALETEA UMEME NA MAJI. WANANCHI HAO WAMEPATWA NA KIGUGUMIZI NA KUSHINDWA KUELEWA KWAMBA WALIMCHAGUA DIWANI HUYU KWA AJILI YA KUWALETEA NI ............?KAMA DIWANI WA KATA TU JE,MADIWANI 3 WAKIFANYA HIVYO,WABUNGE NAVIONGOZI WNGINE WENYE DHAMANA MKOA HUU UTAELEKEA WAPI? WANANCHI WAJIFUNZE NINI KUTOKA KWNU,HABARI ZAIDI ZINASEMA DIWANI HUYU ANAMILIKI ENEO/SHAMBA KUBWA SANA.source WANANCHI KATA KISESA kitongoji cha KANYAMA
Duh! Kumbe kumbukumbu zilishawekwa siku nyingi na juzi ilikuwa just kutimiza "unabii" wa mambo yaliyotabiriwa zamani. Kumbe wenye hekima zao walishaona tatizo tangu 2012 au pengine kabla pengine hata aliyeanzisha huu uzi alishasahau unabii huu!
Laiti Mabina angesikiliza na kuuelewa "unabii" huu yasingemkuta yaliyomkuta! Lakini ndio hivyo tena, sikio la kufa halisikii dawa ikikolezewa na "jeuri ya chama" njia ya kaburini inakuwa nyeupe.