PauliMasao
JF-Expert Member
- Nov 26, 2007
- 286
- 39
Bado siamini kwamba hizi ni habari sahihi. Lakini hata likitokea sitashangaa kwa sababu nasikia hayuko comfortable na baadhi ya madiwani wa ccm hasa wale wanoonekana kuwa karibu sana na meya. Madiwani hao hujiona bora kuliko wengine hasa wale waliokuwa madiwani kwa zaidi ya miaka kumi na kuwaona madiwani wapya kama threat kwao. Madiwani kama kina Lota Laizer, Olesekeian na Karim Mushi na hata huyo Kivuyo wa TLP ndiyo walieifikisha Arusha hapa tulipo na Meya huwakumbatia sana hawa, kwa kifupi kundi hili linajiona supreme kuliko madiwani wengine kitu ambacho kinawakera sana madiwani wengine. Hili nililisikia kutoka kwa Marehemu Bashir Msangi aliekuwa diwani wa kata ya daraja II siku chache kabla hajafariki.