Arusha na Moshi hatushangai. tangu mwanzo alikuwa CDM karudi kwao. lkn tutautizama uraia wake, hatoki kenya huyo? kesho jeshi la Uhamiaji kazini
mkuu siko Arusha hebu tupe habari kamiliNi Alfonce Mawazo. Source: Sunrice Radio
Mrembo Malaria Sugu umependeza, nataka kuja toa posa uko twayari?
utajibeba na kijiba cha roho mbona Pemba huwashangai?Arusha na Moshi hatushangai. tangu mwanzo alikuwa CDM karudi kwao. lkn tutautizama uraia wake, hatoki kenya huyo? kesho jeshi la Uhamiaji kazini
Chadema wamemnunua huyo ana njaa
Chadema wamemnunua huyo ana njaa
arusha na moshi hatushangai. Tangu mwanzo alikuwa cdm karudi kwao. Lkn tutautizama uraia wake, hatoki kenya huyo? Kesho jeshi la uhamiaji kazini
wapi Paka Jimmy?Jamani ni kweli ama uwongo kwa huyu diwani wa kata ya sombetini (Arusha mjini) ndugu Alfonce Mawazo kahamia chadema.!? Mko wapi wadau wa arusha? Tupeni news updates toka huko, wapi crashwire, wapi Nanyaro, wapi Liverpool fc?
kwa mijibu wa stori za vigenge vya gahawa pale tunapokusanyika kujengana kiimani na kuhamasishana kuhusu umuhimu wa ileeeeee mahakama yetu, cdm iko 'safi' kuliko gambaKwa hiyo CHADEMA wana fweza kuliko magamba?
Jamani ni kweli ama uwongo kwa huyu diwani wa kata ya sombetini (Arusha mjini) ndugu Alfonce Mawazo kahamia chadema.!? Mko wapi wadau wa arusha? Tupeni news updates toka huko, wapi crashwire, wapi Nanyaro, wapi Liverpool fc?