MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
Heshima kwa Wana JF, Diwani wa Viti Maalum ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana(UVCCM) Zaina Shahidi wilaya ya Same amekamatwa na magogo pamoja na Mbao aina ya Kenfa ambazo ni nyara ya serikali na Maafisa mali asili Mwanga Kilimanjaro kwa kushirikina na Polisi wa wa Wilaya ya Mwanga.
Sakata hilo lilijiri wiki iliyopita tarehe 25/08/2011. Habari zaidi zinasema kuwa Diwani huyo alipata tenda ya kuuza magogo kwenye kiwanda cha Kilimanjaro Biochem kilichopo Mwanga, Jitihada za kumtoa mahabusu Diwani huyo Maarufu (Mkwe wa Kikwete kwa Riz 0ne)zimegonga mwamba.
Habari zinazidi kumiminika kuwa Diwani huyo kwa kusshirikiana Katibu wa Uchumi na fedha wa CCM Mkoa wa kilimanjaro Bwana Mohamed Karia ndio wanaoongoza mtandao wa wafyeka misitu katika mkoa huu na wanakingiwa kifua na mawaziri David Mathayo na Ezekiel Maige.
Viongozi mbalimbali wa CCM wa wilaya za Same na Moshi walikuwa wakihaha kujaribu kutafuta removal order ili wamtoe gerezani Kiruru.
Mpaka sasa diwani huyo bado yupo gereza la Kiruru akisubiri sikukuu ya Iddi ipite ndo kesi yake iendelee
Sakata hilo lilijiri wiki iliyopita tarehe 25/08/2011. Habari zaidi zinasema kuwa Diwani huyo alipata tenda ya kuuza magogo kwenye kiwanda cha Kilimanjaro Biochem kilichopo Mwanga, Jitihada za kumtoa mahabusu Diwani huyo Maarufu (Mkwe wa Kikwete kwa Riz 0ne)zimegonga mwamba.
Habari zinazidi kumiminika kuwa Diwani huyo kwa kusshirikiana Katibu wa Uchumi na fedha wa CCM Mkoa wa kilimanjaro Bwana Mohamed Karia ndio wanaoongoza mtandao wa wafyeka misitu katika mkoa huu na wanakingiwa kifua na mawaziri David Mathayo na Ezekiel Maige.
Viongozi mbalimbali wa CCM wa wilaya za Same na Moshi walikuwa wakihaha kujaribu kutafuta removal order ili wamtoe gerezani Kiruru.
Mpaka sasa diwani huyo bado yupo gereza la Kiruru akisubiri sikukuu ya Iddi ipite ndo kesi yake iendelee