ni kweli na kesho anapanda jukwaa,,kaudhiwa na mkapa,,kwa kisa cha kumuua jkn
hii ndio sababu sio???
Ni kweli na kesho anapanda jukwaa,,kaudhiwa na mkapa,,kwa kisa cha kumuua jkn
Hizi taarifa nimezisoma punde kutoka kwenye blog moja inasema diwani wa kata ya Nkuarua kwa tiketi ya ccm ndg. Emmanue Wangaeli amejiuzuru, na kunatetesi kwamba amejiunga na wapambanaji cdm.
Mlioko huko tupeni full data.
inasikitisha kuona magreat thinkers wanajadili hisia na tetesi ndani ya ukurasa adhimu ambao kadiri siku zinavyokwenda unapoteza mvuto kutokana na watu kujadili kishabiki mambo ambayo hayana ushahidi wa kiisimu wala kisayansi ni bora kujadili vitu ambavyo ni vya uhakika na kama huyo diwani amejiuzulu kwa sababu ya malumbano ya kisiasa kt ya ben na vicent basi huyo siasa haijui ila anakurupuka.
Kama kweli walimtenda Nyerere hicho kinachosemekana kuwa wamekitenda ili wajinufaishe nafsi zao........kamwe hawawezi kuwa na asubuhi, watatafutana, wasionane kamwe....! Machozi na maumivu ya watanzania na udhaifu wao yanawalilia...mwisho wa CCM sijui utakuwaje..