Diwani wa CCM kata ya Mpwapwa amefariki huko India aikoenda kwa matibabu, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kupigana na ugonjwa wa ini uliopelekea figo zake kufeli kabisa. Huko India alienda kwa nguvu za familia baada ya madaktari wa bongo kumshauri asiende huko, sasa wanainchi wanajiuliza gharama za kurudisha maiti zitakuwa za nani. Diwani huyu alijulikana kwa jina la Dr. Noah Maiseli ni msomi aliyesomea mambo ya vetenali na alikuwa amestaafu kazi serikalini.
MY TAKE : Chadema inaweza kuchukua kata hii kwa sababu Kigaila aliisha waamsha miezi kadhaa iliyopita na teyali wemiisha fungua ofisi na kadi zinauzwa kama njugu. Ila wakati Kigaila anawaamsha kiongozi mmoja wa CDM toka mkoa upande wa akinamama akijulikana kama EVA Mpagama aliwatukana walimu wanawake wa Mpwapwa kwani anabeaf nao mmoja wao anachukuliwa na mme wake walioachana kwa hiyo hafai kuja huku kifanya kampeni kwa sababu walimu wanawake wanaweza kupiga kura ya chuki.