Ndugu msamehe tu kwani hajui alitendalo! Vipi wewe mzima A?Muwe munasoma vizuri kabla ya ku-comment....thread inajieleza "Diwani wa ccm ndugu George J Mlimani wa mahenge ulanga amefariki dunia leo usiku jijini Dsm mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amini."
Rip diwani
tunataka wabunge bana waondoke hasa mawaziri
Sad newz, was he very ill? au ni sudden death? Poleni wana familia na wana ulanga in general.