Diwani Nanyaro Ephata

Mnyakatari,typing error,ni kwamba mchakato wa kutafuta muafaka ulikuwa umeanza,na mimi nilikuwa sehemu ya wajumbe,
Ila hatukuwahi hata mara moja kufikia hitimisho,
First ulisema mmefikia muafaka,nikakuuliza ukaignore,sasa umebadili kuwa ni mchakato wa muafaka...Vurugu tupu!Msijisahau, ni JF hii.
 
First ulisema mmefikia muafaka,nikakuuliza ukaignore,sasa umebadili kuwa ni mchakato wa muafaka...Vurugu tupu!Msijisahau, ni JF hii.
huyu jamaa msimamo wake ni kuto kuunga mkono kugawana vyeo nikati ya watu walio nipa msimo mara baada ya mwafaka huo amesema mwafaka ulifikiwa kwasababu madiwa karibu wote wa CDM hapa Arusha walikubaliana na swala hilo isipo kuwa madiwa watatu naamini nae ni kati ya kura tatu zilizo haribika kwani alinihakikishia, huu mchezo mzima John Bayo na Mallah watakuwa wanaujua...
 
Watu wengine bwana,nimesema sikukubaliana na mwafaka,ila katika hatua za awali nilishiriki mchakato ambao hata hivyo haukufanya kazi,na msimamo wangu ni SIKUBALIANI NA AINA HII YA MWAFAKA.,
 
Kwa ninavyoona hata madiwani wa cdm hawajui ni nini kimewatokea! Inaonekana wamekubali muafaka ambao hata wao hawaukubali! Labda Bayo na Mallah wanaweza kutufafanulia.
 
Kwa ninavyoona hata madiwani wa cdm hawajui ni nini kimewatokea! Inaonekana wamekubali muafaka ambao hata wao hawaukubali! Labda Bayo na Mallah wanaweza kutufafanulia.

Mimi nakupongeza binafsi kwa msimamo wako huo. Pili wewe uko karibu na madiwani wenzio, huu usaliti usiwatetee mwaga hapa jamvini tuchangie hawawezi kuwa hawajui kilichotokea. Msamaha wao ni kuthibitisha kutokujua kwao, wabwage manyanga halafu mchakato wa muafaka uendelee. Samahaini Filipo hii post inaelekezwa kwa Nanyaro. Tafadhali Nanyaro usiwe na hofu utujuze hata kama kwa ID nyingine
 
Huyu Nanyaro ni mnafiki,tena wa wazi hasa kwa sababu zifuatazo:-

1.Maelezo yake yamekuwa na utata na hasa kuelekea kupima upepo humu ndani,alishiriki kwenye kikao na akiwa mjumbe na anatambua muafaka ulifikiwa.Iwapo hakuafiki mbona hatukusikia sauti yake kama kweli yeye ni Mwanademokrasia.Iweje leo ndio ajitokeze na kudai hakubaliani na muafaka huu.HUU NI UNAFIKI TENA WA KICHAWI,kuna aina ya typing error sio hii ya kukosea neno zima tena na maana yake.

2.Hakutueleza wazi,kama alikuwa mwakilishi wa muafaka je baada ya kuona mambo hayaendi alijitoa?au anataka kutuaminisha kuwa kura zilizoharibika moja ni yake.Kama alifikia hatua ya kupigia kura kitu asichokiamini alitarajia nini?Hapa tukisema matokea ya kura yanajustify kuwa demokrasia ilichukua mkondo wake kwa maana ya wengi wape ni makosa?

3.Madiwani wanafiki wa muundo wake hawapaswi kuvumiliwa hata kidogo.Ni muhimu ukasimamia katika msimamo wako na kuamini ulichokitenda hata kama utatishwa vipi.Iwapo maamuzi ya chama yatapitishwa nashauri wewe uwe wa kwanza kufukuzwa kwa maana ya Usaliti wako na huu upotoshaji.Pia ukiwa muongo siku zote,jitahidi kutosahau unayoongopa sasa comment yako ya pili inaonyesha jinsi ulivyosahau udanganyifu wa kwanza kwamba muafaka ulifikiwa eti unatetea kuwa it was a ''typing error''.Tafadhari Nanyaro usituuzi na wala sisi sio kwamba hatukuenda shule ama hatujui kuchambua na kutafakari mambo.Ebu tueleze ukweli badala ya kutulaghai.
 
Back
Top Bottom