Diwani massanja aendesha gari akiwa amelewa na kusababisha ajali

Jamaa mchemshaji hata wale vijana waliokuwa pale wengi wao walisema wazi kuwa jamaa anatabia ya ulevi na kudharau wengine kwa sababu ya wadhifa wake alionao.
 
Its a matter of proffessional ethics.
CCM imekuwa ikisimamisha viongozi ambao siyo waadalifu na ambao hawana self respect wala kuheshimu the Tanzanian Masses.
 
Back
Top Bottom