Waga
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 322
- 14
Katika hali isiyo ya kawaida na ya kushangaza juzi siku ya juma tano (Eid) maeneo ya tabata relini hapo pembeni ya ofisi za MWANANCHI COMUNICATION nilikuta ajali ambayo ilihusisha magari mawili aina ya SUZUKI ESCUDO, nilipaki pembeni kuangalia kulikoni nikakuta DIWANI MASSANJA WA KATA YA UBUNGO akiwa amelewa na akiporomosha matusi ya ajabu kwa yule kijana mwingine ambaye gari lake liligongwa, sikutegemea wala kutarajia kuona mtu kama yeye ambaye na yeye anaitwa MHESHIMIWA DIWANI anaweza akajisahau na kutoa matusi hadharani mbele ya watu ambao wamezunguka kuangalia ajali ile while yeye mwenyewe ndio anaonekana ana makosa na pia akiendesha gari akiwa amelewa na pembeni yake alikuwa na mwanamama mmoja sijui ni mkewe au la.
Niliumia sana kuona DIWANI anashindwa kutumia busara na ushawishi wake alioutumia wakati akiomba kura ili amalize tatizo lile badala yake anatumia nguvu, jeuri, majivuno, na matusi ya nguoni eti kwa sababu yeye ni MHESHIMIWA DIWANI, kwa kweli watu waliokuwa pale walionekana wazi wazi kukerwa na tabia ya diwani yule kutokana na matusi ambayo alikuwa akiyavurumisha bila woga tena kwa kujiamini mno......
Alisema MMELETA MA*******KO YENU NA MI NIMEWAFI******, HAYO NI MANENO YALIYOKUWA YANATOKA KINYWANI MWA DIWANI AMBAYE ANAONGOZA ZAIDI YA WATU LAKI TATU WA KATA YA UBUNGO.
WILI MBILI ZILIZOPITA TULIMJADILI MKULO HAPA KWA TABIA YAKE YA KUTOFUATA SHERIA ZA BARABARANI, JE HAWA WANAOJIITA WAHESHIMIWA HAWAJUI SHERIA ZA BARABARANI AU NI KIBURI NA MAJIVUNO YA VYEO VYAKO KIASI KWAMBA WANAJIO WAPO JUU YA SHERIA??
Niliumia sana kuona DIWANI anashindwa kutumia busara na ushawishi wake alioutumia wakati akiomba kura ili amalize tatizo lile badala yake anatumia nguvu, jeuri, majivuno, na matusi ya nguoni eti kwa sababu yeye ni MHESHIMIWA DIWANI, kwa kweli watu waliokuwa pale walionekana wazi wazi kukerwa na tabia ya diwani yule kutokana na matusi ambayo alikuwa akiyavurumisha bila woga tena kwa kujiamini mno......
Alisema MMELETA MA*******KO YENU NA MI NIMEWAFI******, HAYO NI MANENO YALIYOKUWA YANATOKA KINYWANI MWA DIWANI AMBAYE ANAONGOZA ZAIDI YA WATU LAKI TATU WA KATA YA UBUNGO.
WILI MBILI ZILIZOPITA TULIMJADILI MKULO HAPA KWA TABIA YAKE YA KUTOFUATA SHERIA ZA BARABARANI, JE HAWA WANAOJIITA WAHESHIMIWA HAWAJUI SHERIA ZA BARABARANI AU NI KIBURI NA MAJIVUNO YA VYEO VYAKO KIASI KWAMBA WANAJIO WAPO JUU YA SHERIA??