KILITIME
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 265
- 18
Tarehe 13 nov 2009 ndio tarehe iliyoandikwa barua na M/KITI WA HARMASHAURI YA WILAYA YA KYELA kwenda kwa diwani wa Kyela Mh Mahenge maarufu kwa jina la MAKETE/HALF LONDON nakala kwa tamisemi dodoma, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, mkurugenzi wa wilaya, afisa mtendaji mkuu wa mamlaka ya mji mdogo wa Kyela, katibu wa ccm.
Kuwa kuwepo kwa mamlaka ya mji mdogo ktk oneo la kata ya Kyela mjini kunapelekea kata ya kyela isitambulike tena kwa maana kata hiyo kwa sasa imefutika hivyo diwani,wenyeviti wa vijiji kwa mujibu wa sheria ya serikali za mitaa ya 1982 kifungu no.45(1) cha kushangaza ni namna nzima zoezi lilivyoendeshwa ni dhairi limegubikwa na mazingira ya visasi na kukomoana yaanI ukimwaga ugali mi ntamwaga mboga duh yaan sasa tunakoelekea si kwema Mwakyembe unayaona haya tunaujua uhusiano wako na makete si mzur
Wakazi wa Kyela tunaomba usimamizi wako na maelakezo yako tunazijua kazi na umuhim wa diwan huyu naogopa kufananisha ya richmond na posho mbili picha kama hiyo ipo kivingine hapa wilayani upeo wangu ktk sheria si mpana lakini sitoshelezwi na hatua zilizochukuliwa ingawa nna maswala kadhaa ya kujiuliza nisaidien kuujua ukweli na hatua stahili!
Tchao Kilitime!!
Kuwa kuwepo kwa mamlaka ya mji mdogo ktk oneo la kata ya Kyela mjini kunapelekea kata ya kyela isitambulike tena kwa maana kata hiyo kwa sasa imefutika hivyo diwani,wenyeviti wa vijiji kwa mujibu wa sheria ya serikali za mitaa ya 1982 kifungu no.45(1) cha kushangaza ni namna nzima zoezi lilivyoendeshwa ni dhairi limegubikwa na mazingira ya visasi na kukomoana yaanI ukimwaga ugali mi ntamwaga mboga duh yaan sasa tunakoelekea si kwema Mwakyembe unayaona haya tunaujua uhusiano wako na makete si mzur
Wakazi wa Kyela tunaomba usimamizi wako na maelakezo yako tunazijua kazi na umuhim wa diwan huyu naogopa kufananisha ya richmond na posho mbili picha kama hiyo ipo kivingine hapa wilayani upeo wangu ktk sheria si mpana lakini sitoshelezwi na hatua zilizochukuliwa ingawa nna maswala kadhaa ya kujiuliza nisaidien kuujua ukweli na hatua stahili!
Tchao Kilitime!!