kibananhukhu
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 366
- 161
Alikopesha watu Binafsi hela ili wasaidie Mtu kupata ubunge, Ni hela za Saccos ya walalahoi, walishindwa vibaya na deo yule Wa Filikunjomb, hawajafanikiwa kuipa. Damu ya marehemu hakika I mabegani mwao na vizazi vyao vyote