kumbe yule diwani wa ccm kigamboni anayepingana na mbunge wake ni kwa sababu ana kesi ya wizi wa magari huko morogoro hivyo serikari ya ccm imemtumia kuzima kesi yake au walimwambia kesi itafufuliwa upya ndio maana wizara ilimsafirisha na wenzake kuzima hija ya mbunge wao sasa maendeleo yatoke wapi kuwa na mbunge jambazi na mwizi wa magari naomba mnijuze zaidi
majungu jazz band
hakuna aliyepo CCM ambaye si mwizi na jambazi.
Kigamboni nzima wanajua kuwa ni jambazi kama una rafiki anaishi huko uliza hilo halina utetezi.
Wengi wanasema ni njia za panya zimemfikisha hapo alipo (udiwani)
Ni darasa la saba ana fedha nyingi zinazodaiwa ni halamu.
kumbe yule diwani wa ccm kigamboni anayepingana na mbunge wake ni kwa sababu ana kesi ya wizi wa magari huko morogoro hivyo serikari ya ccm imemtumia kuzima kesi yake au walimwambia kesi itafufuliwa upya ndio maana wizara ilimsafirisha na wenzake kuzima hija ya mbunge wao sasa maendeleo yatoke wapi kuwa na mbunge jambazi na mwizi wa magari naomba mnijuze zaidi
Mh! hapo kwenye red chunga sana mtu huyo anajulikana tangu enzi za Mahita lakini ni mwanachama mwaminifu na mtiifu wa CCM.Ni kweli kabisa Diwani wa Kigamboni A.K.A. DOTTO ni jambazi maarufu na ni mshikaji wa
Alex Massawe lakini kwa vile wa maslahi wezi wenzao CCM wanalindwa ushahidi kesi za wizi za nyuma na wizi wa karibuni Morogoro. WanaJF tufanye kazi ya ziada kuwaelimisha wananchi wawafahamu wezi hawa kwani ndio wanaokwamisha maendeleo ya nchi hii.
tumefika hapa tulipo sababu ya ccm legelege na uongozi wa rais dhaifu