Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Walio ccm wameoza wote. afadhali kajiwahi kabla hajashambuliwa na wale bacteria waozeshao
^^Fungato haliumizi kuni
swahiba... how do you feel now that you hvae allowed an idiot like andenyege to be in such a special region in our country and east african federation? let alone geneva of africa?
Swahiba, kauli yangu hiyo hapo juu, ni kwa huyo Kaa la Moto. Tabia ya kukebehi na kutukana naona inazidi kushamiri hapa ukumbini.
Aidha kuhusu kadhia ya Arusha ni matokeo ya kudai demokrasia. Hali kama hiyo imeshatokea mara kadhaa hapa nchini na ni tokea uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi (1995). Serikali na vyama vya siasa vilikuwa na muda mzuri wa kujifunza kutokana na yale yaliyowahi kutokea katika visiwa vya Zanzibar mwaka 1995 na mwaka 2000. Hata hivyo kwa hili la Arusha inaonekana wazi kuwa hakuna upande uliojaribu kujifunza.