democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
RIP ila tu kama hukuiba kura
taarifa tulizo nazo madiwani 300 wa ccm watakufa kabla ya 2o15' chadema wakiweza kushinda kata zote hizo itakuwa ni nafasi nzuri ya kujenga chama kuanzia kwenye shina'2o15 lazima wachukue nchi
Hayo ni malipo ya uchakachuaji unajua hata Mungu hakupendezwa.Vifo vimezidi kuwamaliza madiwani wa ccm Dodoma mjini,baada ya kufariki kwa madiwani kata ya kikuyu kusini na changombe sasa amefuatia diwani wa kata ya Msalato.naomba kutoa taarifa.source nipo Dodoma.
CUF wakachukue kata hiyo maana najua kule udini mwingi............
taarifa tulizo nazo madiwani 300 wa ccm watakufa kabla ya 2o15' chadema wakiweza kushinda kata zote hizo itakuwa ni nafasi nzuri ya kujenga chama kuanzia kwenye shina'2o15 lazima wachukue nchi
Mikikimikiki ya chadema hiyo inawapa BP!Vifo vimezidi kuwamaliza madiwani wa ccm Dodoma mjini,baada ya kufariki kwa madiwani kata ya kikuyu kusini na changombe sasa amefuatia diwani wa kata ya Msalato.naomba kutoa taarifa.source nipo Dodoma.