Wengine tupo mbali na arusha jamani,tupeni ripoti nikweli kua bayo kahamia cuf?? Nasikia na yule mama ambae mwanae aliuawa na polisi pale nmc nae kachukua kadi,vipi hizi habari nizakweli tunaomba ufafanuzi,japo kwa bayo tulisha litimua halina mpango njaa inamsumbua tu.