tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
Bora hata ulaya mtoto ameiba gari....bongo sjui angeiba nini!!!
I hate divorce!!!!
I hate divorce!!!!
nadhani inabidi turudi kwenye drawing boards...wakati wa u-boy/girlfriend na tujitahidi sana kuwajua partners wetu kwa undani na pia tujitahidi sana kuonesha our true colors kwa wenzetu ambao tumeamua kuishi nao milele ili tufanyapo maamuzi tuwe na uwezo japo kidogo wa kuona tutaweza ishi pamoja au vipi. kuvuruga familia kuna madhara mengi sana kwa pande zote husika, lkn zaidi kwa watoto
Sometimes haiepukiki mkuu
I hate divorce!!!!
So do I
mie pia...