you never know kaka/dada
LABDA HII
TOKA ZAKO SIKUHITAJI TENA ,HUNA MVUTO KAMA ZAMANI
Hapa umekosea. Ni jamaa anachukua ndogo ndogo na bibie anamlilia jamaa asiondoke. Hizi ni talaka za Kizungu. Mzee mambo yakiharibika, anachukua begi lake na kuhamia hotelini. Kama bibie hataki anaanza kumvuta.
Kama jamaa angelikuwa bado anapenda, angelikuwa kamwangalia mtoto (begging) na mtoto ndiyo anam-push akafie mbali.