Ni nzuri ila masomo uliyoweka ni machache sana. Kuna shule wanasoma mpaka masomo 10 wewe umeweka 7 tu. Hivyo update ili iwe angalau na masomo mengi kama Bookkeeping na Commerce, bible knowledge, Agriculture, etc.....
uko sawa kabisa. hilo nimeisha kamilisha nilipata tabu sana kufanya coding ya masomo mengi lakini nimeshafanikiwa. Saivi niko safar, nikifika ntakutumia sample uone inavyofanya kazi.
naweza kuassist develop kwa ajili ya wanavyuo kucalculate gpa. itakuwa bomba kufanya kazi nawe tena
naweza kuassist develop kwa ajili ya wanavyuo kucalculate gpa. itakuwa bomba kufanya kazi nawe tena
haina shida kaka itabidi tuwacliane 2anze kazi...tusiishie maneno tu.
haina shida kaka itabidi tuwacliane 2anze kazi...tusiishie maneno tu.
naja mwanza soon so we can work out
kwanza hongera;
hizo programme nimejaribu kwenye PC yangu lakini zote zinagoma nikiwajaribu kutumia inaniambia
the programme has stoped working mpaka sasa sijfanya chochote zaidi ya kuishia kusoma maelezo tu.
wait ur reply.
Ni nzuri ila masomo uliyoweka ni machache sana. Kuna shule wanasoma mpaka masomo 10 wewe umeweka 7 tu. Hivyo update ili iwe angalau na masomo mengi kama Bookkeeping na Commerce, bible knowledge, Agriculture, etc.....
Hii ni patch itakayoondoa tatizo hilo ambalo linatokea sana kwenye Windows Vista na Windows 7.kwanza hongera; hizo programme nimejaribu kwenye PC yangu lakini zote zinagoma nikiwajaribu kutumia inaniambia the programme has stoped working mpaka sasa sijfanya chochote zaidi ya kuishia kusoma maelezo tu. wait ur reply.
Bro unaweza nipa full version inayoweza chukua wanafunzi zaidi ya mia mbili (CSEE)Umesha download? Kama umesha download ni rahisi tu. Kwa CSEE kama ni v1.0 unatype grades unapata matokeo kama ni CSEE Lite v.1.0 unatype marks af unapress enter kila baada ya kutype then unapata matokeo....the same applied to ACSEE ukishamaliza unaweza kuprint!