PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Leo ninataka kuileta mada ya jinsi wanawake huwa wanakuwa madiva wanapopewa cheo kazini ama kukuwa celeb in the music,media or business world.Nimewasikia wanaume wengi wakicomplain bibi amekuwa kichwa ngumu anapopata pesa zaidi ya mumewa kazini ama kwa biashara anayo fanya.
My own personal experience ni msichana mmoja hapa kazini alipewa chewa akawa manager baada ya wiki moja tuu alikuwa amebadilika kabisa na kuwa DIVA.Akawa mkali mno tena akawa hawasalimu watu,na wewe ukimwamkia anakujibu lakini kwa madharau ni kama kusema hustaili hata kuongea naye.Tena akawa anaongea kwenye simu na kucheka kwa sauti kubwa ili watu wawe wanamnotice tena wakati mwingine huwa anaimba na kukatika ofisini.Lakini haya yote yali backfire ambapo alitengwa na watu wote ofisini except mamanager wenzake.Akawacha tabia hizi na hata akajaribu kuongea na watu tena.
Another experience ile gym ninapokwenda kuna dada mtangazaji mashuhuri wa radio.Huyu naye huwa anapenda kuwa the centre of attention.Akija apata mpiga stori anaingilia na ku take over.Tena huwa hamwamkii mtu ila yule mtu amwamkiye kwanza ama awe rafiki wake wa karibu.nilipojua hiyo ndiyo tabia yake niliamua sitakuwa nikimwamkia unless yeye aniamkie sasa huwa ananiangalia na macho mabaya nikama ana hasira .Kwa nini mimi nimpe heshima zaidi ya ile anayo nipa mimi ?kwa sababu anasoma news kwenye radio???No! Hanilishi,hanivishi na hata nikianza kumworship vile ambavyo amezoeshwa huko nje ati kwa sababu yeye ni celeb hakuna kitu atakacho ongeza maishani mwangu. Me I believe in mutual respect!
So nilikuwa ninauliza mumepata kuwa na experience na wanawake hata wanaume ambao wana hii 'Diva Mentality'?How do you handle it sana sana kama ni mtu mnaishi naye ama kufanya kazi naye?
My own personal experience ni msichana mmoja hapa kazini alipewa chewa akawa manager baada ya wiki moja tuu alikuwa amebadilika kabisa na kuwa DIVA.Akawa mkali mno tena akawa hawasalimu watu,na wewe ukimwamkia anakujibu lakini kwa madharau ni kama kusema hustaili hata kuongea naye.Tena akawa anaongea kwenye simu na kucheka kwa sauti kubwa ili watu wawe wanamnotice tena wakati mwingine huwa anaimba na kukatika ofisini.Lakini haya yote yali backfire ambapo alitengwa na watu wote ofisini except mamanager wenzake.Akawacha tabia hizi na hata akajaribu kuongea na watu tena.
Another experience ile gym ninapokwenda kuna dada mtangazaji mashuhuri wa radio.Huyu naye huwa anapenda kuwa the centre of attention.Akija apata mpiga stori anaingilia na ku take over.Tena huwa hamwamkii mtu ila yule mtu amwamkiye kwanza ama awe rafiki wake wa karibu.nilipojua hiyo ndiyo tabia yake niliamua sitakuwa nikimwamkia unless yeye aniamkie sasa huwa ananiangalia na macho mabaya nikama ana hasira .Kwa nini mimi nimpe heshima zaidi ya ile anayo nipa mimi ?kwa sababu anasoma news kwenye radio???No! Hanilishi,hanivishi na hata nikianza kumworship vile ambavyo amezoeshwa huko nje ati kwa sababu yeye ni celeb hakuna kitu atakacho ongeza maishani mwangu. Me I believe in mutual respect!
So nilikuwa ninauliza mumepata kuwa na experience na wanawake hata wanaume ambao wana hii 'Diva Mentality'?How do you handle it sana sana kama ni mtu mnaishi naye ama kufanya kazi naye?