Wana jf mimi nimemaliza form 6 na nimefanya mtihani kama private candidate na nimepat div 4.18 sijui nifanyeje nilisoma HGK yaan FSE Ndo nimepata, naomba mnisaidie kutafuta vyuo vya diploma na certificate ya ualimu vile vya serikali kwani uwezo wangu ni mdogo sana.