TANZIA Ukiwaona Ditopile afariki dunia

habari ni kweli ila baba h kuwa na utu ss sio mahakimu cha msingi ni kumtakia mema mwenzetu sisi tiko kwenye safari na hatujajua mwisho wetu utakuwaje.

tumuombe mola atupe mwisho mwema hilo ndio la kuomba na sio kufurahia na kukejeli msiba wa mwenzetu

Kifo cha Ditto hakiwezi kumrejesha yule dereva duniani au kufuta hasira za wanyonge dhidi ya upindishwaji wa makusudi wa sheria ili kumlinda.
Vivyo hivyo kumshambulia Marehemu Ditto (Kama kweli kafa) hakuwezi kubadili hayo yaliyojitokeza sana sana itaonyesha wale walioshiriki kudhulumu haki ya Dereva wa daladala ambao bado wapo hai kuwa kitendo walichofanya hakikuwa cha kiungwana na kiliwakera wengi

Kufa kwa Ditto si kitu cha ajabu wala si topiki ya kujadiliwa hata sasa hivi tunapojadili hapa watu wengi tu wameshakufa ila kinachofanya watu wajadili hapa wanamjadili kama kiongozi aliyestahili kuwa kioo cha uadilifu na si kama mtu binafsi

Huyu si mtu wa kwanza kujadiliwa hata viongozi wakuu waliojijengea heshima kama Julius na Abeidi Karume wanajadiliwa hadi hivi sasa

Kujadiliwa kwa kiongozi katika jamii kwa mwelekeo hasi au chanya inategemea na mchango wake katika jamii husika.
 
Kifo cha Ditto hakiwezi kumrejesha yule dereva duniani au kufuta hasira za wanyonge dhidi ya upindishwaji wa makusudi wa sheria ili kumlinda.
Vivyo hivyo kumshambulia Marehemu Ditto (Kama kweli kafa) hakuwezi kubadili hayo yaliyojitokeza sana sana itaonyesha wale walioshiriki kudhulumu haki ya Dereva wa daladala ambao bado wapo hai kuwa kitendo walichofanya hakikuwa cha kiungwana na kiliwakera wengi

Kufa kwa Ditto si kitu cha ajabu wala si topiki ya kujadiliwa hata sasa hivi tunapojadili hapa watu wengi tu wameshakufa ila kinachofanya watu wajadili hapa wanamjadili kama kiongozi aliyestahili kuwa kioo cha uadilifu na si kama mtu binafsi

Huyu si mtu wa kwanza kujadiliwa hata viongozi wakuu waliojijengea heshima kama Julius na Abeidi Karume wanajadiliwa hadi hivi sasa

Kujadiliwa kwa kiongozi katika jamii kwa mwelekeo hasi au chanya inategemea na mchango wake katika jamii husika.
Kuna waliokufa na wana vitu vya kuigwa, sio huyu jamani!

Alikuwa mkorofi twamjua weka mahala pema peponi, alikuwa muuaji twamjua weka mahala pema peponi, alikuwa mhuni twamjua weka mahala pema peponi.

Hiyo mbingu ni ya wanadamu ama ya Mungu? Mbona mnataka kuleta vichekesho. hapo mahala pema peponi ni pa wanadamu ama patakatifu pa Mungu?
 
...moja ya sababu kuu za kummaliza mtu mwenye kisukari n presha ni ongezeko la mapigo ya moyo[msukumo wa damu] ..inaweza kutokana.. TENSION[MAWAZO,KAZI NYINGI],MATUMIZI YA DAWA AU KITU CHOCHOTE KINACHOWEZA KU STIMULATE MAPIGO YA MOYO KUWA JUU[STIMULANTS]..Ie CAFEINE,VIAGRA ets

Ndio maana maradhi ya namna hii, pamoja na 'stroke' yanaitwa Silent Killers'kwa maana huwezi kujua dalili wala wakati. Kifo kinaweza kuja ghafla tu, wakati ulikuwa na dalili njema tu kabla ya hapo.

Ndio maana, inasisitizwa sana watu muwe mnapima afya zenu mara kwa mara, angalau mara moja kwa mwaka, hata kama hujisikii kuumwa.

Hili ndilo tatizo letu hapa nyumbani, kuweza kuwafikishia wananchi huduma za afya ili na wao wapate kujilinda na magonjwa ya namna hii.
 
Ya Dito inasikitisha sana. Amefariki kwa shinikizo la damu leo saa mbili asubuhi akiwa hotelini, Morogoro, tena akiwa anaangalia TV.... mwili wake unasafirishwa leo mchana huu kuelekea Dar es Salaam ambako utapitishiwa hospitali ya jeshi ya Lugalo, kabla ya shughuli ya mazishi kuendelea nyumbani kwake Upanga, Dar es Salaam. Ina Lilalh Waina Ilaihu Rajiun

This is too sad. Ni bahati mbaya kwamba amefariki bila kesi yake kwisha na haki haitakuja kutendeka milele. Hata hivyo, kwa jicho la imani, tunasema yote ya Mungu.
 
Kuna waliokufa na wana vitu vya kuigwa, sio huyu jamani!

Alikuwa mkorofi twamjua weka mahala pema peponi, alikuwa muuaji twamjua weka mahala pema peponi, alikuwa mhuni twamjua weka mahala pema peponi.

Hiyo mbingu ni ya wanadamu ama ya Mungu? Mbona mnataka kuleta vichekesho. hapo mahala pema peponi ni pa wanadamu ama patakatifu pa Mungu?

ama hakika kuwekwa pema peponi au kuwekwa pabaya hiyo ni kazi ya maulana.
Wanadamu la kwetu ni simply a wish,labda alitubu hatujui.Pengine hata pale pale hotelini aliliitia jina la muumba wake.
Wakristo wanajua kisa cha mwizi aliyesulubiwa,akajutia makosa yake akiwa msalabani dakika chache kabla roho haijaacha mwili akaahidiwa paradiso on the spot.
Tangulia Ditto,walio masifadi na wasio sote twaja.Msalimie Mwalimu,mpe habari za richi monduli, vijisenti nk.
 
jamani wana JF asiye na dhambi hapa na awe wa kwanza kumtupia Ditto mawe. Sikatai kwamba Ditto alistahili haki yake hapa hapa duniani kwa kuua. Lakini sasa ameshaondoka, leave it, let it go!
 
Tusijidanganye kuwa kama Dito asingefikwa na mauti kuna siku kesi yake ingesikilizwa na haki ikatendeka. Hivi kuna mtu ameshawahi kuwa kwenye situation ambayo una ndugu yako ameuwawa kikatili na kiongozi wa serekali, tena akiwa kazini kwake! lakini wakati unategemea muuaji aadhibiwe kama wauaji wengine- cha ajabu ni kwamba Raisi pamoja na serekali na vyombo vyake vya dola vinamkingia kifua na anaendelea kudunda mitaani? How would that make you feel? Kifo cha Dito kinanifanya nianze kuamini kuna Mungu, I cant imagine furaha ambayo watakuwa nayo ndugu, jamaa, marafiki wa Marehemu Bw. Hasani Mbonde na wapenda haki wote kufuatia taarifa hizi, they have equalized against all odds!
Hata hivyo nawapa pole ndugu wa marehemu Dito kwa msiba uliowasibu.
 
Unsurprisingly enough the news of Ditopile's death has been received with a sense of "Justice has been finally done".

Malipo ni hapa hapa duniani, au sio?
 
amempunguzia matatizo jk na ccm yake,la sivyo wangekuwa na kipindi kigumu wakati wa uchaguzi 2010
 
Ndio maana maradhi ya namna hii, pamoja na 'stroke' yanaitwa Silent Killers'kwa maana huwezi kujua dalili wala wakati. Kifo kinaweza kuja ghafla tu, wakati ulikuwa na dalili njema tu kabla ya hapo.

Ndio maana, inasisitizwa sana watu muwe mnapima afya zenu mara kwa mara, angalau mara moja kwa mwaka, hata kama hujisikii kuumwa.

Hili ndilo tatizo letu hapa nyumbani, kuweza kuwafikishia wananchi huduma za afya ili na wao wapate kujilinda na magonjwa ya namna hii.

Eeeh Bwana Kalamu safi sana unaposema hapo...kuna tatizo moja siku mtu unapoulizwa umepima wewe....cha kwanza watu wanafikirikia kupima virusi vya UKIMWI....wakati kuna matatizo mengi sana ambayo kama tungekuwa tunafanya uchunguzi mara kwa mara tungeweza kuyagundua na kuchukua tahadhari....

Wengine wanasema...unalinga nini...kwani umepima...wanamaanisha nini? Umepima UKIMWI...lakini magonjwa ni mengi sana ambayo hatuyagundui...ndugui zangu angalau kila baada ya mwaka au miezi 18 tuwe tunapima afya zetu (Pima "blood pressure" kila miezi 2, pima damu angalia kama kuna sukari, kiwango cha damu, pima ini lako linafanyaje kazi, pima mkojo....na mengine mengi..ikiwa ni pamoja na UKIMWI...ukishatimiza yote sasa linga na useme ujapima UKIMWI tu bali vipimo vingine vingi...
 
I see that some are still in denial mode. I do not blame them. It will take time for this sad news to sink in.

None of us knows how we stand before God. We do not know how Ditto stands before God. We entrust Ditto, and ourselves, to His Mercy, His unfathomable Mercy.

We are all sinners. Ditto may have been a sinner, just like the rest of us. It is wrong to say or feel that in the eyes of God (the only eyes that in the end, matter) we are better than Ditto. We may have killed many by our hatred.

We are deeply sad because we are worried about what the after life holds for this, our brother. Our worry and sadness is somehow mitigated by our trust in the Mercy of God. His Mercy is incomprehensible to any intellect, human or angelic. May the Lord forgive him and receive him into His kingdom.

The correct response to this sad news is for us to pray for Ditto. We may also investigate whether there is foul play in his death.
 
Jamaniee, tunauangalia huu msiba wa kaka yetu Ukiwaona Ramadhani Mwinshehe Ditopile Mzuzuri. Lakini mtu mwenye majonzi makubwa ni mzee wetu muheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya muungano, hajamaliza kuyatatua ya Mzee Mugabe na mshkaji Chenge yanafuata ya bestman. Hatujui whats next. Tumuombeeni mungu jamani, hatujui Chenge kama ataenda kwenye kambi ya Lowassa, kwani huko kuna underground war ya kuwaumbua walioko madarakani?
Tuombeni M/mungu muheshimiwa Rais asije akapata presha...
 
dito atutoka.jpg
Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Yusuph Makamba ( wa tatu kulia ) na viongozi wengine wakiwa wamezunguka jeneza lenye mwili wa marehemu Ditopile Mzuzuri katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro jana, kabla ya kusafirishwa kwenda Dar es Salaam kwa mazishi. Wa pili kulia ni Kamanda mstaafu wa Jeshi la Polisi nchini, Bw. Omari Mahita ( Picha na Ramadhan Libenanga)
 
ndugu wa marehemu.jpg
Ndugu wa karibu wa marehemu Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, wakiwa kwenye msiba nyumbani kwake Upanga, jijini Dar es Salaam. (Picha na Sabato Kasika).
 
Back
Top Bottom