The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
vifo vingine vinastahili kufanyiwa sherehe. Is he really dead? Maana yule mtoto wa mjini.
...unaanza hivyo. CV ya nini na mtu ameshafariki??. lililobaki ni kumuomba mungu amuweke pahala anapostahiki. AMEN
Sote ni wa Mwenyeenzi Mungu na sote tutarejea kwake bila ya shaka.
Huyo ndugu yetu aliyetaka CV ya Marehemu pengine ana kazi muhimu au anataka kuandika some thing tusimlaumu moja kwa moja labda anataka imsaidie kwa kazi zake.
lakini upande mwengine ikiwa anaitaka kwa ajili ya kumuundua tu marehemu basi nadhani sio vizuri bora ndugu yetu uwache maama unajau sisi watanzania naona kama tunakwenda sehemu mbaya hivi sasa yaani tunasubiri mtu aje ndio tuanze kumsifu na kumkashifu bila ya kujali maumivu ya wale familia yao kwani kila binaadamu ana ndugu, jamaa, watoto hivyo kufanya vitendo kama hivyo tunakuwa tunawaumiza wafiwa mimi nadhani kwa maoni yangu tabia hii tuanze kuiwacha ingawa ni ngumu kwa wengine kuwacha lakini wajaribu kujiwekea mazingira ya kuheshimu wenziwao ili nao waje kuheshimiwa.
naomba kutoa hoja ingawa nilipotea kw amuda mrefu lakini sasa nimerudi inshaallah .
karibuni sana kijiweni kula orojo, badia na kababu.
Tukubali tusikubali, pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu, Ditto alikua mtu muhimu sana kwa Taifa hili la Tanzania, ambalo limejaa, akina "Makamba" kibao
Uchunguzi wa Jf unasemaje ,maana huyu jamaa alikuwa na kesi ya kuua ,huyu jamaa ni rafiki wa CCM, kesi ilikuwa bado ipo mahakamani.
Je safari yake kuelekea Moro ilianzia wapi ni nani na nani wakifuatana nae ,kabla ya kufikiwa na Kifo Chake ni sehemu gani alikuwa akitembelea ,amewahi kuhudhuria kongamano la aina yoyote yaani kwa muda wa mwezi inabidi mwenendo wake ujulikane,historia yake kiafya.
Kuna vifo vya kutatanisha Tanzania vinavyowakumba viongozi na kila siku vinazidi idadi.Na kuna ufisadi na Mafisadi ambao kifo cha mmoja kinaweza kikapoteza ushahidi wa wote.Wale wakuu wa Ufisadi naona bora mkimbie yaani kama mimi ndio Chenge ,hapa msingeliniona tena ,ningejiuzulu na kusema napumzika ,yaani ningetoa sababu yeyote tu na kuyoyomea kusiko julikana ,maana kuna mtu aliokota dola kama milioni 4 au arobaini hivi,Mjini Califonia eti akazirudisha polisi ,jamaa walimshangaa alipoulizwa akasema hajui atazitumiaje !!
Mwenyezi Mungu amjaalie afueni Ditopile kwani siri ya kesi iliyomkabili ukweli wa undani wake anaeujua ni yeye Mwenyewe mwenyezi Mungu,kwani yeye ndio Hakimu mjuzi.
The guy was a killer, he deserves to die like a fly. Sina sababu ya kuwa mnafiki na nafahamu fika pesa ya walipa kodi itapotea tena kwa kuzika uaji hili.
Asante ma mdogo kwa info...hope mambo yatajifunua zaidi kwa kadiri siku zinavoenda...ni bahati mbaya kwamba kafia hotelini na huenda hatutajua chanzo halisi cha kifo chake ijapokuwa alikuwa na hayo matatizo kama ulivosema...ni nini kilisababisha presha/kisukari vipande?
Hulazimwishwi kuamini mkuu...Hivi habari hizi kuwa Ditto ni marehemu ni za kweli? mimi bado sijaamini,mazishi lini?