Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Poleni watanzania wenzangu kwa msiba huu mkubwa.
Nataka pia kumpelekea JK salaam za rambi rambi kwa kifo cha BEST MAN wake. Pole sana kaka.
Dito tutamkumbuka kwa mengi ambayo yametusaidia sana kujifunza na hivyo nisifungue mjadala juu ya marehemu.
Kawaida yetu sisi wabantu katika msiba tunajadili mema ya marehemu. Hii ni kwa lengo la kumpunguzia au kumwondolea mzigo huko aendako.
Sasa dadangu Kalumuna kafariki kabla hata hajafikia kuona bidii zake zikiwakomboa watanzania kweli?? Namjua kuwa ni mtu mwenye akili na anayejua kufanya mikakati. Lakini pia alikuwa ana hamu kw andani ya kutaka kuona nchi ya Tanzania na watu wake wakikombolewa kabisa. Labda alitaka siku moja aje kuwashtukiza CCM ili usaliti wake kwa chama ulete ukombozi moja kwa moja.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi.
AMEN.
Nataka pia kumpelekea JK salaam za rambi rambi kwa kifo cha BEST MAN wake. Pole sana kaka.
Dito tutamkumbuka kwa mengi ambayo yametusaidia sana kujifunza na hivyo nisifungue mjadala juu ya marehemu.
Kawaida yetu sisi wabantu katika msiba tunajadili mema ya marehemu. Hii ni kwa lengo la kumpunguzia au kumwondolea mzigo huko aendako.
Sasa dadangu Kalumuna kafariki kabla hata hajafikia kuona bidii zake zikiwakomboa watanzania kweli?? Namjua kuwa ni mtu mwenye akili na anayejua kufanya mikakati. Lakini pia alikuwa ana hamu kw andani ya kutaka kuona nchi ya Tanzania na watu wake wakikombolewa kabisa. Labda alitaka siku moja aje kuwashtukiza CCM ili usaliti wake kwa chama ulete ukombozi moja kwa moja.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi.
AMEN.