Sir_Finus
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 330
- 139
- Thread starter
- #21
dogo kuhusu ajira za hizo course ni bilabila hakuna kitu,sema kama unataka kufulfill dreamz zako we soma tu ila nafasi za tele ndo zimekwisha kabisa,na kuhusu ajira za comp eng lazima uwe na certification kama Cisco na CCNA,bila hizi bench linakusubir kitaa labda ujiajiri.
kwa hyo koz gan ni nzur kwa eng?