Dissertation kama hii utaipa maksi ngapi?

Kithuku

JF-Expert Member
Nov 19, 2006
1,395
208
Wakubwa hebu angalieni hii dissertation halafu mnipe maoni yenu. Si lazima kusoma yote, kurasa chache tu humo ndani zitatosha kukupa mwelekeo!
[media]http://www.zanzinet.org/files/legality_union.pdf[/media]
 
Kithuku, asante kwa dissertation hiyo japokuwa sijaisoma yote nimepitia kidogo. Nimekuta mapungufu mengi sana yakiwemo yafuatayo.

1. Sijaona mahala inapotaja ni dissertation kwa ajili ya ku-fulffil requirements za degree gani yaani kama ni ya uzamili au shahada au Udakatari wa falsafa.

2. Sijaona mahala alipotaja methodology yake zaidi tu naona ni simulizi na pia utaoji maoni kwa upande mmoja usiozingatia misingi ya uchambuzi yakinifu

3. Upangiliaji wa dissertation hiyo kwa ujumla umekiukwa. Sifahamu chuo anachosomea kama hakina standard formats za references, fonts n.k

4. Kama alifanya mahojiano na watu haoa aliowataja mwishoni mwa dissertation yake, alipaswa kuweka mifano ya instruments alizotumia pia kuweka copy kadhaa ya mahojiano na kama si yote.

Mapungufu ni mengi na nisingependa kwenda kwenye kipengele cha lugha maana tutakesha ila kwa ujumla huyu bwana amejitahidi mno ukizingatia hali halisi ya uandishi nyumabni.

Maswali haya sasa ni kwako wewe uliyetoa hii tasnifu ya huyo mhusika;

1. je, ulipata wapi hii dissertation?

2. Je huoni kama kuileta hapa ikiwa kamili na jina la mwandishi bila idhini yake au ya chuo utakuwa umekosea maana hii ni copyright property ya chuo na kuna utaratibu unaotumika kwa kupata documents kama hizi. Unless kama chuo alichosomea kimezianika kwenye mtandao wa kwao au mwenyewe aliamua kuianika.

3. Ulihitaji kupata mawazo ya aina gani kuhusianana na dissertation hii? Je ya kumsaidia huyu mwandishi au labda ya kuichanganua?
 
Kithuku, asante kwa dissertation hiyo japokuwa sijaisoma yote nimepitia kidogo. Nimekuta mapungufu mengi sana yakiwemo yafuatayo.

1. Sijaona mahala inapotaja ni dissertation kwa ajili ya ku-fulffil requirements za degree gani yaani kama ni ya uzamili au shahada au Udakatari wa falsafa.

2. Sijaona mahala alipotaja methodology yake zaidi tu naona ni simulizi na pia utaoji maoni kwa upande mmoja usiozingatia misingi ya uchambuzi yakinifu

3. Upangiliaji wa dissertation hiyo kwa ujumla umekiukwa. Sifahamu chuo anachosomea kama hakina standard formats za references, fonts n.k

4. Kama alifanya mahojiano na watu haoa aliowataja mwishoni mwa dissertation yake, alipaswa kuweka mifano ya instruments alizotumia pia kuweka copy kadhaa ya mahojiano na kama si yote.

Mapungufu ni mengi na nisingependa kwenda kwenye kipengele cha lugha maana tutakesha ila kwa ujumla huyu bwana amejitahidi mno ukizingatia hali halisi ya uandishi nyumabni.

Maswali haya sasa ni kwako wewe uliyetoa hii tasnifu ya huyo mhusika;

1. je, ulipata wapi hii dissertation?

2. Je huoni kama kuileta hapa ikiwa kamili na jina la mwandishi bila idhini yake au ya chuo utakuwa umekosea maana hii ni copyright property ya chuo na kuna utaratibu unaotumika kwa kupata documents kama hizi. Unless kama chuo alichosomea kimezianika kwenye mtandao wa kwao au mwenyewe aliamua kuianika.

3. Ulihitaji kupata mawazo ya aina gani kuhusianana na dissertation hii? Je ya kumsaidia huyu mwandishi au labda ya kuichanganua?

Bi Mkubwa,

Nashukuru kwa mchango wako, nauthamini sana na umenifaa. Bado nakaribisha wengine, na hata wewe mwenyewe ukitaka kurudi kuongezea, tafadhali wala usisite.

Nimeitoa kwenye mtandao wa zanzinet ambao ni public access. Maoni ninayohitaji ni ya kuichanganua tu, chochote kitakachovuta attention yako, maana kama ni degree nadhani alishapata.

Asante.
 
ebwana hili lina mindembwende kibao lakini kwa upande wangu naona bora ungemtafuta Shivji...maana ningempelekea prof wangu lakini naogopa maana he loves madude kama haya na akilipata kama hili i can only imagine atakavylichafua

otherwise nicheki kwenye PM kisha tutajua where we should go from here

lakini maswlai aliyouliza bimkubwa hapo juu ni mazuri sana ila kwa nyongeza tuu naomba utuletee kwanza hiyo PROPOSAL la hili dude kabla hatujaendelea ndipo hapo tutaanza kulimungunyua kipande by kipande
 
By the way kwa nini hao zanzinet wachoyo kutoa membership? Kwa nini isiwe open forum kama hii?
 
Back
Top Bottom