Officer2009
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 560
- 110
Naombeni msaada kuhusu display ya simu yangu kujaa rangi na kutoonyesha kitu chochote kila ikiingia kwenye standby mode au nikiizima na kuiwasha mara nyingine inajaa rangi na kutoonyesha chochote. Wakati mwingine inabidi nitoe betri na lain kwa muda fulani afu nikivirudisha ndo display inakuwa sawa, na kuna wakati mwingine simu inapiga kazi bila tatizo lolote kwa siku nzima. Nifanye nini kusolve tatizo hili?