Disemba 9 kila mwaka: Tunasherehekea uhuru wa nchi ipi?

kwani uhuru wa USA 1776 ulikuwa wa states zote 50? na mbona hawasemi Independence of the first 13 states? na tunajua states kama Hawai zimejiunga juzijuzi na the US! Acheni kupotosha...ni uhuru wa Tanzania hata Zanzibar pia itasheherekea ndo maana napo ni public holiday!
 
Geza Ulole

Nakubaliana na lugha yako ya kizalendo, lakini kufananisha historia ya United States of America (USA) na United Republic of Tanzania (URT) ni sawa na kukurupuka bila ya kutafakari!
 
Last edited by a moderator:
Mwaka 2011 ni miaka hamsini tangu uhuru wa Tanganyika ulipopatikana. Naomba niulize: Tutasheherekea kivipi? Uhuru wa Tanganyika au wa nji hii ya Tanzania ambayo inatimiza miaka 47?

Kusherehekea miaka 50 ya uhuru wa Tanzania ni usanii maana duniani hakukuwepo na nchi inayoitwa Tanzania tarehe hiyo ya December 9, 1961. Sijui kwanini hawataki kurekebisha kasoro hii kubwa. December 9, 2011 kwenye majaliwa tutakuwa tunasherehea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika. Pia tusisahau kwamba Tanzania haijawahi kutawaliwa.

 
Wana jf Rais kasema kusherekea kwa mbwembwe miaka 50 ya uhuru wa nchi yetu lakini haitaji.Nijuavyo mimi nchi iliyopata uhuru mwaka 1961 ni Tanganyika. mbona sasa haipo? iko wapi?

Zanzibar wamepata katiba yao kama wazanzibari.je katiba tunayoitaka ya Tanganyika iko wapi? je tutaendelea mpaka lini katika muungano huu wa kinadharia?tutaendelea mpaka lini kupangiwa mambo yetu na watu wachache mpaka lini kwa kisingizio cha muungano.kama wazanzibari hawataki serikali moja basi turudishe tanganyika yetu.

Na wana jf katiba mpya sasa ianze kwa nguvu kudai Tanganyika.Tumueleze rais kuwa tunataka kusherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.

Nawasilisha
 
Mhh yangu macho rais asije kusababisha muungano uvunjike kwa hotuba za bila kujiaandaa
maana angasema uhuru wa tz bara sawa
 
....kama wazanzibari hawataki serikali moja basi turudishe tanganyika yetu.
Nawasilisha

Kumbe unasubiri siku wazanzibari waseme wanataka serekali moja.Utasubiri sana wala bado!Mie mzanzibari mmoja, count me in "SITAKI MUUNGANO NA TANGANYIKA".Huo ndio msimamo wangu, and I stand by it to death.Assuming I have seen alot in the past 50.

Miungano ninayounga mkono mie ni shirikisho tuu e.g EA, AU,EU etc.Lakini masuala ya kupoteza utaifa wangu...I am not ready and I dont think consciously I will ever come to a point and say forget about Zanzibar....Lets be Tanzania, ooops I forgot you think it is Tanzania already....Well, thats a fact I consider myself as a Zanzibari till today.
 
Yaani umechukua maneno yangu kabsaa, ila naomba ongeza na hili la KATIBA, hivi ni katiba ya Tanganyika au Tanzania? na kama ni ya TZ, mbona zanzibar wana katiba yao? ya Tanganyika iko wapi? ili ziunganishwe tupate KATIBA ya Tanzania? Sasa itakayokua inalinda maslahi ya wadanganyika ni ipi? is ist not logical kua nazo mbili ili kuunda moja? hahaaaa, labda sijaelewa, ngoja nitaandika vizuri nikiwa kwene PC
 
Mhh yangu macho rais asije kusababisha muungano uvunjike kwa hotuba za bila kujiaandaa
maana angasema uhuru wa tz bara sawa

Mkuu,

Rais anaiita nchi iliyopata uhuru kuwa ni Tanzania bara.
Pitia hii sehemu ya hotuba yake, anasema TZ bara. Mkulu anachakachua mpaka jina la nchi.

CENTER][FONT=Palatino Linotype, serif]Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru[/FONT][/CENTER]


[FONT=Palatino Linotype, serif]Ndugu Wananchi;[/FONT]
[FONT=Palatino Linotype, serif]Mwaka mpya tunaouanza usiku wa leo una umuhimu wa kipekee katika uhai na historia ya nchi yetu. Tarehe 9 Desemba 2011 nchi yetu itatimiza miaka hamsini ya Uhuru wa Tanzania Bara. Haya si mafanikio madogo hata kidogo. Ni mafanikio makubwa sana ambayo hatuna budi kuyafurahia na kuyasherekea kwa uzito unaostahili. [/FONT]

[FONT=Palatino Linotype, serif]Katika miaka 50 ya Uhuru wetu tumefanya mambo mengi mazuri ya kujivunia katika nyanja mbalimbali. Tumedumisha uhuru na umoja wa nchi yetu. Kwa hakika hali yetu ilivyo leo kisiasa, kiutamaduni, kiuchumi, kijamii, kiusalama na kimaendeleo kwa jumla, ni tofauti sana na hali ilivyokuwa wakati Tanzania Bara inapata uhuru wake tarehe 9 Desemba, 1961. Natambua pia kwamba katika miaka 50 hii, nchi yetu na watu wake wamekumbana na kukabili changamoto nyingi. Zipo nyingi tulizoziweza na zipo ambazo tunaendelea kuzikabili na tunayo mipango thabiti ya kuhakikisha tunafanikiwa.[/FONT]

[FONT=Palatino Linotype, serif]Ndugu Wananchi;[/FONT]
[FONT=Palatino Linotype, serif]Kwa kutambua umuhimu wa aina yake wa maadhimisho ya mwaka huu ya siku ya Uhuru wa Tanzania Bara tarehe 9 Desemba, 2011, tumekubaliana na viongozi wenzangu Serikalini kuwa tusherehekee siku hiyo kwa uzito unaostahili. [/FONT]

[FONT=Palatino Linotype, serif]Ndugu Wananchi;[/FONT]
[FONT=Palatino Linotype, serif]Tumekubaliana pia, tufanye mambo manne muhimu katika maadhimisho hayo. [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]Kwanza,[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] nautangaza mwaka 2011 kuwa ni Mwaka wa Maadhimisho ya Miaka Hamsini ya Uhuru wa Tanzania Bara. Kilele chake kitakuwa tarehe 9 Desemba, 2011 ambapo kutafanyika sherehe kubwa na za aina yake nchi nzima ambapo wananchi watashirikishwa kwa ukamilifu. [/FONT]

[FONT=Palatino Linotype, serif]Pili,[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] tufanye tathmini ya kina ya mafanikio tuliyoyapata, katika juhudi zetu za kujiletea maendeleo katika miaka hamsini hii. Kila Wizara, idara na taasisi za Serikali na hata sekta binafsi zifanye tathmini ya eneo lake. Tathmini hizo ziandikwe katika vitabu ili kuhifadhi kumbukumbu hizo muhimu kwetu na kwa vizazi vijavyo. Vitabu na nyaraka hizo vitakuwa kumbukumbu zenye manufaa makubwa kwa wenzetu watakaokuwepo mwaka 2061 wakati wa kusherehekea miaka [/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif]100[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] ya Uhuru wa Tanzania Bara. Itarahisisha kazi yao ya kufanya tathmini wakati huo. [/FONT]

[FONT=Palatino Linotype, serif]Tatu,[/FONT][FONT=Palatino Linotype, serif] kwamba yafanyike maonyesho maalum katika Uwanja wa Maonyesho wa Julius Nyerere hapa Dar es Salaam na kote mikoani kwenye viwanja vya maonyesho, kuelezea mafanikio yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali katika miaka 50 tangu Uhuru wa Tanzania Bara.[/FONT]
 
Yaani umechukua maneno yangu kabsaa, ila naomba ongeza na hili la KATIBA, hivi ni katiba ya Tanganyika au Tanzania? na kama ni ya TZ, mbona zanzibar wana katiba yao? ya Tanganyika iko wapi? ili ziunganishwe tupate KATIBA ya Tanzania? Sasa itakayokua inalinda maslahi ya wadanganyika ni ipi? is ist not logical kua nazo mbili ili kuunda moja? hahaaaa, labda sijaelewa, ngoja nitaandika vizuri nikiwa kwene PC

Mkuu,
Haya mambo viongozi wetu waliyakoroga sana. Muungano ulizaliwa kwa mkataba huu. Nimeukata, ila uki-google upo mtandaoni. Hizo sehemu nyekundu zitakusaidia kujibu suali lako.

THE ARTICLES OF UNION

between
THE REPUBLIC OF TANGANYIKA AND THE PEOPLES' REPUBLIC OF ZANZIBAR
WHEREAS the Governments of the Republic of Tanganyika and of the Peoples' Republic of Zanzibar being mindful of the long association of the peoples of these lands and of their ties of kinship and amity, and being desirous of furthering that associatio! n and strengthening of these ties and of furthering the unity of African peoples have met and considered the union of the Republic of Tanganyika with the Peoples Republic of Zanzibar:
(iii) During the interim period the Constitution of the united Republic shall be the Constitution of Tanganyika so modified as to provide for-
(a) a separate legislature and executive in and for Zanzibar from time to time constituted in accordance with the existing law of Zanzibar and having exclusive authority within Zanzibar for matters other than those reserved to the Parliament and Executive of the united Republic;
(b) the offices of two Vice-Presidents one of whom (being. a person normally resident in Zanzibar) shall be the head of the aforesaid executive in and for Zanzibar and shall be the principal assistant of the President of the United Republic in the discharge of his executive functions in relation to Zanzibar;
(c) the representation of Zanzibar in the Parliament of the United Republic;
(d) such other matters! as may be expedient or desirable to give effect to the united Republic and to these Articles.
(iv) There shall reserved to the Parliament and Executive of the united Republic the following matters-
(a) The Constitution and Government of the united Republic.
(b) External Affairs.
(c) Defence.
(d) Police.
(e) Emergency Powers.
(f) Citizenship.
(g) Immigration.
(h) External Trade and Borrowing.
(i) The Public Service of the united Republic.
(j) Income Tax, Corporation Tax, Customs and Excise.
(k) Harbours, Civil Aviation, Posts and Telegraphs.
And the said Parliament and Executive shall have exclusive authority in such matters throughout and for the purposes of the united Republic and in addition exclusive authority in respect of all other matters in and for Tanganyika.
(v) The existing laws of Tanganyika and of Zanzibar shall remain in force in their respective territories subject-
(a) to any provision made hereafter by a competent legislature;
(b) to such provision as may be made by order of the President of the united Republic for the extension to Zanzibar of any law relating to any of the matters set out in Article (iv), and the revocation of any corresponding law of Zanzibar;
(c) to such amendments as may be expedient or desirable to give effect to the union and to these Articles.
(v) (a) The first President of the united Republic shall be Mwalimu Julius K. Nyerere and he shall carry on the Government of the united Republic in accordance with the provisions of these Articles and with the assistance of the Vice-Presidents aforesaid and of such other ministers and officers as he may appoint from Tanganyika and Zanzibar and their respective public services.
(b) The first Vice-President from Zanzibar to be appointed in accordance with the modifications provid! ed for in Article (iii) shall be Sheikh Abeid Karume.
(vii) The President of the united Republic: in agreement with the Vice-President who is head of the Executive in Zanzibar shall-
(a) Appoint a Commission to make proposals for a Constitution for the united Republic.
(b) Summon a Constituent Assembly composed of Representatives from Tanganyika and from Zanzibar in such numbers as they may determine to meet within one year of the commencement of the union for the purpose of considering the proposals of the Commission aforesaid and to adopt a Constitution for the united Republic.
 
(vii) The President of the united Republic: in agreement with the Vice-President who is head of the Executive in Zanzibar shall-
(a) Appoint a Commission to make proposals for a Constitution for the united Republic.
(b) Summon a Constituent Assembly composed of Representatives from Tanganyika and from Zanzibar in such numbers as they may determine to meet within one year of the commencement of the union for the purpose of considering the proposals of the Commission aforesaid and to adopt a Constitution for the united Republic.

Kwa uelewa wangu hii comission na hii constituency assembly haikukaa mpaka 1977 ilipoundwa katiba ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Baada ya kutengeneza katiba hiyo kazi yake kisheria iliisha.
 
Wana jf Rais kasema kusherekea kwa mbwembwe miaka 50 ya uhuru wa nchi yetu lakini haitaji.Nijuavyo mimi nchi iliyopata uhuru mwaka 1961 ni Tanganyika. mbona sasa haipo? iko wapi?
Zanzibar wamepata katiba yao kama wazanzibari.je katiba tunayoitaka ya Tanganyika iko wapi? je tutaendelea mpaka lini katika muungano huu wa kinadharia?tutaendelea mpaka lini kupangiwa mambo yetu na watu wachache mpaka lini kwa kisingizio cha muungano.kama wazanzibari hawataki serikali moja basi turudishe tanganyika yetu.na wana jf katiba mpya sasa ianze kwa nguvu kudai Tanganyika.Tumueleze rais kuwa tunataka kusherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.

Nawasilisha

Elimukwanza uko shahihi hakuna nchi inayojulikana kama Tanzania Bara na wala hakuna nchi inayojulikana kama Tanganyika.

Katiba inayozungumzwa na katiba tuliyonayo ni katiba ya jamhuri wa muungano, lakini tulishaambiwa humu ndani na gwiji la sheria za katiba kuwa baada ya zanzibari kusema wao ni nchi basi katiba imevunjika na kama katiba imevunjwa basi ni dhahiri kuwa nchi ya tanzania haipo kisheria
 
Nchi imechanganikiwa nadhani hatujietambui......hata mkuu wa nchi mwenyewe anajua kunanchi inaitwa tanzania bara ilipata uhuru miaka 50 iliyo pita kazi ipo.......
 
Kwa uelewa wangu hii comission na hii constituency assembly haikukaa mpaka 1977 ilipoundwa katiba ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977. Baada ya kutengeneza katiba hiyo kazi yake kisheria iliisha.

Mkuu,
ni sahihi uliyosema.
jee sasa hivi wakati tunadai katiba Mpya. Itakuwaje? tutafuata mfumo kama huo uliotumika kupata katiba ya muungano? Au?

kile kipengele (v.) vipi? unafikiri Tanganyika ilitakiwa kuendelea kuwepo au ifutwe?

Mkuu, hata kama tutakubaliana kuwa Tanganyika haipo, lakini nchi iliyopata uhuru 1961 ilikuwa nchi gani? Tungeweza kusema tunasherehekea uhuru wa marehemu Tanganyika au vipi?
 
Mkuu,
ni sahihi uliyosema.
jee sasa hivi wakati tunadai katiba Mpya. Itakuwaje? tutafuata mfumo kama huo uliotumika kupata katiba ya muungano? Au?

kile kipengele (v.) vipi? unafikiri Tanganyika ilitakiwa kuendelea kuwepo au ifutwe?

Mkuu, hata kama tutakubaliana kuwa Tanganyika haipo, lakini nchi iliyopata uhuru 1961 ilikuwa nchi gani? Tungeweza kusema tunasherehekea uhuru wa marehemu Tanganyika au vipi?

Tanganyika ilijifia wakati wa muungano 1964 na toka wakati huo hakuna nchi kama tanganyika in short ile sehemu ya nchini inayojulikana kama tanzania bara katika katika katiba ya sasa ilisurrender sovereignity yake na ndio maana hata kwenye katiba huwezi kukuta neno Tanganyika.

Swali kama Tanganyika iwepo au isiwepo itategemea kwa kiasi kikubwa sana wamanchi watataka nini, lakini kwa jinsi mambo yalivyo itabidi Tanganyika irudi hakuna jinsi. Kwani mtu tuliyeungana naye na kusababishwa kutokea Tanzania amekiuka vifungu vya makubaliano na kuamua kuwa yeye ni nchi hivyo na sisi tutawajibika kurudisha soverignity yetu.

Huwezi kusherehekea birthday ya marehemu, akishakufa basi na birthday yake inakuwepo for purposes of history and not for celebrations.

La kwanza ni gumu sana kuliapproach. How do we start kuandika katiba mpya? Madaraka ya bunge ne kurekebisha tu. Inabidi bunge litunge sheria kuhusu nia na azma ya serikali kubadili katiba na madaraka ya kubadili katiba na utaratibu utapatikanakwenye hiyo sheria.
 
"Elimukwanza uko shahihi hakuna nchi inayojulikana kama Tanzania Bara na wala hakuna nchi inayojulikana kama Tanganyika.

Katiba inayozungumzwa na katiba tuliyonayo ni katiba ya jamhuri wa muungano, lakini tulishaambiwa humu ndani na gwiji la sheria za katiba kuwa baada ya zanzibari kusema wao ni nchi basi katiba imevunjika na kama katiba imevunjwa basi ni dhahiri kuwa nchi ya tanzania haipo kisheria"

hii inachanganya kwelikweli? je Tutegemee another G55?
 
Tumekaa kwenye huu utata miaka 50 kwasababu ya ***** moja tu mwanzilishi wa muungano

Ama kweli wadanganyika ni ...
 
Elimukwanza uko shahihi hakuna nchi inayojulikana kama Tanzania Bara na wala hakuna nchi inayojulikana kama Tanganyika.

Katiba inayozungumzwa na katiba tuliyonayo ni katiba ya jamhuri wa muungano, lakini tulishaambiwa humu ndani na gwiji la sheria za katiba kuwa baada ya zanzibari kusema wao ni nchi basi katiba imevunjika na kama katiba imevunjwa basi ni dhahiri kuwa nchi ya tanzania haipo kisheria
kwanini Serikali wanaingangania Zanzibar? maana hata CCM waliwahi kudai Tanganyika.Mwalimu akawasambaratisha.
 
Tanganyika ilijifia wakati wa muungano 1964 na toka wakati huo hakuna nchi kama tanganyika in short ile sehemu ya nchini inayojulikana kama tanzania bara katika katika katiba ya sasa ilisurrender sovereignity yake na ndio maana hata kwenye katiba huwezi kukuta neno Tanganyika.

Swali kama Tanganyika iwepo au isiwepo itategemea kwa kiasi kikubwa sana wamanchi watataka nini, lakini kwa jinsi mambo yalivyo itabidi Tanganyika irudi hakuna jinsi. Kwani mtu tuliyeungana naye na kusababishwa kutokea Tanzania amekiuka vifungu vya makubaliano na kuamua kuwa yeye ni nchi hivyo na sisi tutawajibika kurudisha soverignity yetu.

Huwezi kusherehekea birthday ya marehemu, akishakufa basi na birthday yake inakuwepo for purposes of history and not for celebrations.

La kwanza ni gumu sana kuliapproach. How do we start kuandika katiba mpya? Madaraka ya bunge ne kurekebisha tu. Inabidi bunge litunge sheria kuhusu nia na azma ya serikali kubadili katiba na madaraka ya kubadili katiba na utaratibu utapatikanakwenye hiyo sheria.

Mkuu,
Tanganyika ilikufa vipi? au kivipi?au nani aliiua?

....And the said Parliament and Executive shall have exclusive authority in such matters throughout and for the purposes of the united Republic and in addition exclusive authority in respect of all other matters in and for Tanganyika.
(v) The existing laws of Tanganyika and of Zanzibar shall remain in force in their respective territories subject-
(a) to any provision made hereafter by a competent legislature;.....

Mkuu, ukisoma hiyo sehemu ya the articles of union ni sawa na kusema bunge la muungano limepewa "power of attoney" ya kuiwakilisha au kufanya kazi ya serikali ya Tanganyika. Sasa hapo inamanisha kuwa tanganyika ilikufa? au iliamua kujificha tu?

Suali pia linakuja nani alitoa hiyo"power of attoney"? Kama Rais na nchi ya tanganyika ilikufa? jee haiwezi kutafsirika kuwa Rais wa tanganyika alivaa kofia mbili? nyengine ile ya Rais wa Muungano?

Still kuna mambo ya Tanganyika au vipi mkuu? sasa vipi Tanganyika isiwepo? Ahhh... Sielewi kitu hapa.... nieleweshe kama unafahamu kitu hapo!
 
Back
Top Bottom