Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kama vile dar haiishiwi na vituko wiki iliyopita kulitokea msiba wa kijana mmoja anayetajwa kuwa ni mdogo wa mkurugenzi wa CLUb KAKALA pale Kigamoni!
Kituko cha aina yake kilikuwa ni pale maandalizi ya kuchimba kaburi maeneo ya magogoni karibu na Mikadi Beach, ndipo mziki wa disco ambao hutumika pale club ulipopelekwa makaburini sambamba na generator la uhakika na vinywaji vya kufa mtu!
Watu walikula na kunywa mpka siku mbili bila disco kuzimwa, kaburi lichimbwa likajengewa mbarumaru kwa ndani na bada siku mbili ndipo mwili wa kijana yule ukahifadhiwa pale!
Binafsi nilishindwa kutafsiri aina hii mpya ya msiba!
Kituko cha aina yake kilikuwa ni pale maandalizi ya kuchimba kaburi maeneo ya magogoni karibu na Mikadi Beach, ndipo mziki wa disco ambao hutumika pale club ulipopelekwa makaburini sambamba na generator la uhakika na vinywaji vya kufa mtu!
Watu walikula na kunywa mpka siku mbili bila disco kuzimwa, kaburi lichimbwa likajengewa mbarumaru kwa ndani na bada siku mbili ndipo mwili wa kijana yule ukahifadhiwa pale!
Binafsi nilishindwa kutafsiri aina hii mpya ya msiba!