huyo malima mwongo sana na mtoa na mpokea rushwa mnzuri tu,uchaguzi wake kuwa mbunge nako fedha kahonga sana jaribu ulizia jimboni kwake.alipewa mapigo manzuri na aliyekuwa then kalewa uroda jamaa wakamfaidi nakumwambia karibu moro,aache kupiga kelele kakaribishwa mjini morogoro au kiswahili cha zito kabwe kaingia choo cha kike.hajaibiwa wa-tz wamerudisha jasho lao tena ningemfahamu alotenda hayo ningemwabia aendelee kurudisha jasho la wanyonge.mdumu mlotenda hayo na mwingine yupo kwenye uchaguzi a.mashariki mwigulu nae mkachukue jasho la wanyonge analofuja.