Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Nakubaliana na wewe JB huyu ni Mzinzi amevuna alichokipanda, wangemsukumizia na kijiti cha masaburi ningefurahi sana. Hata vivyo hizo pesa anazosema $400,000 alizokuwa nazo ni uzushi mtupu, kwanini asitembee na Bank card?
Ni $4,000 si lako nne!