Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Nimeangalia clip ya video iliyokuwa posted, kuanzia dakika 2:30, inayohusiana na kuvunjwa kwa Hoteli aliyolala Mheshimiwa na inaonyesha dhahiri ya kuwa mtu aliyevunja hiyo Hoteli alivunja akitokea ndani na sio nje. Jee, nimefika vipi hiyo conclusion? Ukaingalia vizuri ule mbonyeo umetoka nje, kitu kinachoonyesha ya kuwa force ilikuwa on the opposite direction.
Naomba Moderator usiunganishe hii na ile nyingine kwani hii topic imejikita zaidi kwenye uchunguzi.
[video=youtube;DRjjA-MoQ5]http://www.youtube.com/watch?v=DRjjA-MoQ5[/video]
Naibu wazir aibiwa morogoro - YouTube
Naomba Moderator usiunganishe hii na ile nyingine kwani hii topic imejikita zaidi kwenye uchunguzi.
[video=youtube;DRjjA-MoQ5]http://www.youtube.com/watch?v=DRjjA-MoQ5[/video]
Naibu wazir aibiwa morogoro - YouTube