Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (Tanzania Development Vision 2025)...

Khaaaaa!!! Angalia jinsi ulivyo mtupu!!!! tangu lini vipaumbele vya Serikali vimekuwa siri? Vipaumbele vinafanywa siri kwa faida ya nani!? Halafu eti unataka kuwa Rais!!!! Halafu naona umejisahau hapa na kuandika kama wewe mwenyewe gaidi siyo tena kama third party!!!!

Tutoe taarifa sahihi ili vipaombele vya serikali viwe revealed
 
Bado tunasubiri mchanganuo wa kuonyesha kila wizara husika katika malipo hewa ya bilioni 40 kwa mwezi.

Tutoe taarifa sahihi ili vipaombele vya serikali viwe revealed
 
Khaaaaa!!! Angalia jinsi ulivyo mtupu!!!! tangu lini vipaumbele vya Serikali vimekuwa siri? Vipaumbele vinafanywa siri kwa faida ya nani!? Halafu eti unataka kuwa Rais!!!! Halafu naona umejisahau hapa na kuandika kama wewe mwenyewe gaidi siyo tena kama third party!!!!

Vidhihirike kutoka na taarifa sahihi
 
Ni usanii tu na uongo mkubwa wa MAFISIEM,miaka chungu nzima ya kuwepo madarakani hakuna hata sekta moja tunaweza kusema hii ina ahueni. Kila inapokaribia uchaguzi mkuu mnakuja na ahadi hewa lukuki na hamtimizi hata 1% mnaishia kufanya ufisadi wa matrilioni na kuficha nchi za nje huku nchi ikiwa haina maendeleo yoyote.

Vidhihirike kutoka na taarifa sahihi
 
Km mpaka hapa uoni kazi ya chama cha mapinduzi hakika na wewe utakuwa miongoni mwa wale ambao kazi yao kubwa ni kubeza.
Ndugu yangu Eddo mkweli siyo kubeza tu bali kama kuna maendeleo ya kweli tutasema. Kama baba yako ana uwezo wa kukusomesha na hafanyi hivyo huwezi kuanza kumsifia tu eti kwa kukupatia ugali kila siku...kwanini asikusomeshe? Hapa ni ukweli TZ ingeliweza kupata zaidi ya hapo..kwanini tusifie badala ya kusema ukweli kwamba hawana jipya? Mimi nilikuwa mshabiki wa CCM lakini nimebaki kama jiwe siwezi kushabikia tu na kwa hakika siwaungi mkono kama Dr Lwaitama alivyosema
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Eddo mkweli siyo kubeza tu bali kama kuna maendeleo ya kweli tutasema. Kama baba yako ana uwezo wa kukusomesha na hafanyi hivyo huwezi kuanza kumsifia tu eti kwa kukupatia ugali kila siku...kwanini asikusomeshe? Hapa ni ukweli TZ ingeliweza kupata zaidi ya hapo..kwanini tusifie badala ya kusema ukweli kwamba hawana jipya? Mimi nilikuwa mshabiki wa CCM lakini nimebaki kama jiwe siwezi kushabikia tu na kwa hakika siwaungi mkono kama Dr Lwaitama alivyosema

Mwigulu anamkakati waitoa Tanzania ilipo kwama.Tumuunge mkono Mwigulu 2015
 
Last edited by a moderator:
Barabara, maji, umeme na vinginevyo ni kodi za wananchi sio hela ya mtu mmoja au chama. Kinachofanya watu waongee ni usimamizi na matumizi ya kodi zetu, unatoa kwa masikini unapeleka kwa matajili. Wamepandisha bei ya umeme ikawa haitoshi wakaongeza service charge ya umeme na maji. Hapo naona hajatatua tatizo bali ameongeza.

Mwigulu anatosha katika kutuletea maendeleo.Tumuunge mkono
 
Ndugu yangu Eddo mkweli siyo kubeza tu bali kama kuna maendeleo ya kweli tutasema. Kama baba yako ana uwezo wa kukusomesha na hafanyi hivyo huwezi kuanza kumsifia tu eti kwa kukupatia ugali kila siku...kwanini asikusomeshe? Hapa ni ukweli TZ ingeliweza kupata zaidi ya hapo..kwanini tusifie badala ya kusema ukweli kwamba hawana jipya? Mimi nilikuwa mshabiki wa CCM lakini nimebaki kama jiwe siwezi kushabikia tu na kwa hakika siwaungi mkono kama Dr Lwaitama alivyosema

Mleta uzi ha kuleta kwa ajili ya kumuimpress kila mtu. Ila ameweka nikutokana na jinsi anavovutiwa na utendaji kazi wa Mwigulu. Wewe km huipendi ccm wamepungukiwa nn mpk sasa? Mwembe mtupu hautupiwi mawe.
 
Last edited by a moderator:
Kwa matanuzi yenu ya Serikali yalivyo makubwa yaliyojaa anasa, kwa ukubwa huu wa Wizara na Idara, Kwa ufisadi huu - aisee hiyo ni ndoto ya mchana; wadanganyeni watu wa Iramba!!

Ndio maana alianza na kuondoa Posho na chai kwenye semina, itapunguzwa maadhimisho km vile week ya nenda salama. ya maji, ya kichaa cha mbwa namengine mengi. Na kuna mpango wakubadilisha Magari ya viongozi km nakuwa na Magari ambayo co ya gharama.
 
"Miaka 100 ijayo Tanzania itakua nchi iliyoendelea zaid ya zile zilizoendelea".Shemeji akiwahutubia vijana pale 7/7 mwaka huu,sasa unashangaa hapo 2025 si ndo dira ya taifa inavyosema?tujiulize huo mpango wa taifa wa miaka mitano unatekelezwa?wananchi wanaujua?wameupitia?,kwanza zipo doc 2 sijui ipi inatekelezwa

Hope unaongelea mkurabita na mkukuta 1 n 2, suala la wananchi kupitia co la viongozi. ni lawananchi wenyewe serikali ni wewe usimnyooshee mtu kidole kwani Tanzania co ya viongozi ni yako so ni wajibu wa kila mtanzania kutafuta hizo nyaraka nakuzisoma
 
Namba 6 inafanana na wale walionunua mashamba huko morogoro,tanga na kwingineko ila wameshindwa kuyaendeleza,na serikali inawaachia,maana wapo wanaomilik ambao ni miongoni mwao humohumo wafanya maamuzi

Mimi huwa nawashangaa sana vijana wa nchii hii, yaani mnatumia nguvu nyingi kubeza, kukejeli hv jamani hii nchi ndo kwenu huna nchi yako nyingine zaidi hii na hawa viongozi hawakuingia madarakani kwa kutumia mabavu, wameaminiwa na wananchi wao ndio maana wako hapo kutuwakilisha na hawa co malaika. ila wanapifanya kitu kwa manufaa ya nchi tuwaunge mkono na co kuwabeza.
 
Back
Top Bottom