Diplomat Amina Salum Ali

1990-96 Minister of Finance Amina Salum Ali, Zanzibar (Tanzania)
1996-2005 Minister of the Treasury

1985-88 Deputy Minister of Finance, Economy and Planning

WAKATI HUU ZANZIBAR ILIKUA ECONOMICALY BETTER KULIKO WAKATI WOWOTE

and 1988-90 Minister of State of Foreign Affairs for International Cooperation.
ANA DESERVE KUPEWA HII NAFASI

In 2000 she was a candidate for the nomination for Presidential candidate of the ruling Chama Cha Mapinduzi party. From 2005 State Minister in the Chief Minister's Office.

Hapa nadhani kunawatu wanchuki binafsi, hakuna critism za msingi, kama nikuboronga kwenye maswali markwamara inatokea kwa kiongozi wowote, mlitaka apelekwe m-NIGERIA ndo mgeona kapelekwa msomi? wa TZ inabidi tujiamini na Suppotiana.

Nakama tatizo ni lugha ata TONY BLAIRE, BUSH walivuruga sana pamoja na kua lugha niyao, Blaire alishindwa kuandika TOMORROW akaandika toomorow Nyie mnaishi dunia gani?

Unampa mtu credit kwa nafasi alizoshika? Na economic condition zilizoprevail? Bia ya kutuambia alifanya nini?

Ukiniambia Ngozi-Okonjo-Iweala anastahili a high international position, ukanipa academic profile yake na kutoa achievents zake kama ku negotiate kufutwa deni laNigeria, pamoja na msururu wa vitu alivyofanya nitasikiliza, lakini ukiniambia achievement yake ni kuwa Finance Minister wa Nigeria nitakuona either una m un dersell au hana achievement.

Vivyo hivyo kwa condition zilizo prevail chini yake ambazo for all that we know zinaweza kuwa zimeachwa na administration ya Shehu Shagari au Jakub Gowon kama siyo na Azikiwe au hata toka organizations za Chief Obafemi Awolowo.

Kwa hiyo onyesha alichofanya, siyo titles zake wala alicho oversee, which by the way could be better.
 
1. Akina mama Tz naona wameipandisha chart nchi..ukianza na Asha Rose Migiro, mama Tibaijuka na Mama Mongela. Sema huyu Amina Salum..may be shule na exposure ni ndogo!

2. Watz ni vema tujue kuna mambo ya kazi na pia kuna vitu vya aibu..hata kama ni ulaji..basi isiwe kwa nafasi kubwa hivi AU Ambasador US..ingefaa awe na Masters au PhD ktk International Relations na kuwa diplomat mda mrefu.

Mimi binafsi ukunipa kazi ya ulaji kama sina ujuzi na kama naona itaniumbua..sitaikibali!

Shule ndogo kivipi? Huyo mama ana MBA!
 
Shule ndogo kivipi? Huyo mama ana MBA!

Shule as in elimu unaweza ku preservere na kupata desa ukapata hata PhD, lakini kama kazi yako mbovu, huji mawasiliano, unapotosha historia, hata lugha inakupiga chenga, huna decision making soundness unakuwa paper tiger, paper PhD na kinaweza kuja kibabu chenye life experience tu kikakutoa nishai.

Tukiongelea shule tuongelee matunda ya shule na kazi ya mtu, si ku flash paper credentials wakati tunajua enzi za cold war watu kibao wamepelekwa shule kiserikali serikali na vimemo va MOFA, hata huko mashuleni walikuwa wanajua hawa ni watu wa serikali ya Tanzania msiwape taabu.

Hivi mtu kama Dr. Salmin Amour na doctorate yake ya North Korea or some communist cocoon like that utafanya haki kumuita PhD yule?
 
Sasa nimeshaamini kuwa una chuki na wazanzibari!

Kama wazanzibari vilaza tusiwaseme? Mbona Dr. Bilal nuclear physicist watu dunia nzima wanamkubali hatumsemi kwamba kilaza?

Kama mtu amepata kazi kwa affirmative action ya uZanzibari bila ya kuwa na credentials anasemwa tu, haogopwi mtu kwa sababu mZanzibari, na hii jumpy inferiority complex uliyonayo inakuonyesha kuwa ukiwa attacked kitu cha kwanza ni ku play Uzanzibari card.

Huyo Kikwete tunayembonda kila siku humu Mzanzibari naye? Huyo Mkapa tunayemshambulia kila mawio katoka Unguja au Pemba? Hao kina Makamba na wazugaji wenziwe wametoka mji gani Zanzibar? Chenge na mafisadi wenzake tunaowalima kila siku wametoka wapi?

Usitake kufanya Uzanzibari ndiyo license ya mediocrity na idiocracy.
 
Last edited:
Siyo haki kumhukumu kwa lg.
kwanza ingeletwa audio tukasikia hasa alivyoongea.
Halafu intelligence ipi mnataka awe nayo katka kuongea? mlitaka aongee american english, ambayo haielewi?
Au jamaa aliyekuwa ana muhoji alionyesha pahala kuwa hakuwa akimuelewa?
Mbona sioni tatizo kama ameongea na ameeleweka!
Hicho kilichoandikwa hapo ndo exacltly alichoongea na Martin?
Hebu acheni umbumbumbu wenu wa kuacha kujadili kilichoongelewa na kuchupia muongeaji na mambo yasiyokuwa ya msingi.


Kutoona tatizo ndio tatizo lenyewe, kwako, kwake na kwa watanzania wengi pia.
Siyo ushabiki, Amina ni mweupe, pe! Siyo lugha tu, ila kiwango chake cha kujadili hoja kiko chini mno.
 
Unampa mtu credit kwa nafasi alizoshika? Na economic condition zilizoprevail? Bia ya kutuambia alifanya nini?

Ukiniambia Ngozi-Okonjo-Iweala anastahili a high international position, ukanipa academic profile yake na kutoa achievents zake kama ku negotiate kufutwa deni laNigeria, pamoja na msururu wa vitu alivyofanya nitasikiliza, lakini ukiniambia achievement yake ni kuwa Finance Minister wa Nigeria nitakuona either una m un dersell au hana achievement.

Vivyo hivyo kwa condition zilizo prevail chini yake ambazo for all that we know zinaweza kuwa zimeachwa na administration ya Shehu Shagari au Jakub Gowon kama siyo na Azikiwe au hata toka organizations za Chief Obafemi Awolowo.

Kwa hiyo onyesha alichofanya, siyo titles zake wala alicho oversee, which by the way could be better.


Economy ya Zenji nillisha ongea iliku nzuri wakati wake kuliko sasa hivi ndo maana nampa credit p[amoja na mda mrefu wakazi za juu alizoshika inaonyesha alikua mahir kiasi gani huyu mama, nashule ameenda kama wengineo waliokuwepo UN

Wako wengi tu UN na org nyingi watu wako post za juu lakini hawana achievement za kuonyesha lakini bado wanaweza kua watendaji wazuri

Kutojiamini kwetu na kuzoea kutawaliwa na wengine kama vile wa-Nigeria nk ndo tunaoona wanastaili kushika nafasi hizo,

Kuna mbumbu wengi kwenye UN kuanzia katibu mkuu wao lakin sio huyu ma Amina.
Fungueni macho na msikilize interview za watu wengine ndo mtaona Amina nastaili kupewa hii nafasi,

ACHENI USHAMBA
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom